mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Sawa nenda ukawe muinjilisti mlevi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pombe ndio nn wewe hata kwenye Bible hakuna madhara
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nenda ukawe muinjilisti mlevi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Pombe ndio nn wewe hata kwenye Bible hakuna madhara
Nakupenda pia babe [emoji8][emoji8] ebu rudisha moyo nyuma wote tupo kwenye ndoa anayekushauri uondoke na kuwaacha watoto wako hayupo kwenye ndoa au ameachika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakupenda mamy...
Weeeh mwanaume gani atakubali
Rudi kwa mumeo mlee watoto wenu hata kama mtatengana vyumbayaan km kubug nitabug maishan eti kuolewa tena[emoji23][emoji23]ili nigundue nn...
Ushasahau mara hiiiHahhahahah roho mbaya ipiii niliyokufanyia mm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unacheka nini sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ebu nikumbushe basi mume wa mtu wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nahamia kenya talk kama Sakayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niwe mara ngapi sasa ebu uko niache
Aondoke na watotoWatoto tu arudishe moyo nyuma jamani
Nipo chugga mpenzi, nikija dar nitakuonaHahhaha sawa mwenza hivi si upo moro au siku nikija nitakutafuta au ukija dar nitafute tulewe mpaka asubuhi
Nimeshasahau jamani hata sijui
nimekupenda bure
Hahaha hahaha hahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Na nimewezeshwa kweli mimi
Mie hunipendi eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nakupenda mamy...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KwendaaaaEbu nikumbushe basi mume wa mtu wewe