witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mama mzazi kama kasema hivoo daaah!...atakuwa kaona jamaa tia maji asee[emoji849][emoji849][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]kwamba kasie amefeli maisha..tuna stereotype ya ajabu sana...bas mm pia mzaz wangu aliniambia hv!:
manengelo sio ww wakwnza kuondoka ndoani..inawezekana kbs ukikaa alone utafanya mambo ya maana..mradi akili yako iwe smart..be smart..acha mawazo ya kuolewa tena...simama ww km ww..acha anasa..utapig hatua kubwa sana..nTak niyaishi hayo
Sent using Jamii Forums mobile app