Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

Mimi nakushauri uwe unatoka naye out usitoke peke yako, kila ukitaka kutoka out mwambie ajiandae muttoke naye akiona anakereka atakuwa anakuruhusu utoke peke yako japo mara mojamoja

Mimi suala la ruhusa ya kutoka hilo halipo na halitakuwepo...sijakuoa uje kuwa mlinzi wangu na kunipangia vitu vya kufanya na kutokufanya ati nirudi home saa 1
 
Back
Top Bottom