Mada maalum kwa wanandoa

Mada maalum kwa wanandoa

View attachment 3112715
142449c7-8310-4d24-b717-d4a2ea409024.jpeg
 
Ndoa ina furaha,shida tunaingia kwenye ndoa mke ameshachapwa na wanaume kibao,mume ameshachapa wanawake kibao na hawataki kuacha watu wao wa zaman
 
 
In the end, I chose to build a wall, around my once fragile heart. Not to forget, but to protect the remains of myself that are still intact.

Stone by stone, I piled up the wounds and lessons. Every crack in the wall is a story that I no longer want to hold.

However, if one day there is a patient hand that knocks without breaking, maybe this wall will slowly collapse. And I will learn to open my heart once again, without fear of being hurt.

.
```♥️💐♥️
FB_IMG_1735123381234.jpg
 
Ni siku nyingine tena imepita, tumerudi salama majumbani mwetu, kuungana tena na wapendwa wetu, familia na watoto pia. Baadhi yetu hatujarejea, tuko mishe na viti virefu, baadhi tuna sababu za msingi na nyumbani wanafahamu na tumewapa taarifa, wanatusubiri watupokee kwa upendo, kwa furaha kwa bashasha kuu.

Baadhi hali ni tofauti, hatungependa kuchelewa nyumbani, tungependa tuwahi, tuungane na familia, tuimalize jioni kwa furaha kuu kabla hatujaungana kwa dinner na maombi ya usiku, lakini hali ni tofauti. Tunapoteza muda nje saa zisogee ili tukifika tu ni chakula kuoga na kulala, tunakimbia kero na malumbano yasiyoisha.

Ndoa haina furaha, ndoa haina amani, majuto ni mengi mno moyoni. Kila mmoja anajutia kivyake, hakuna upendo tena, hakuna kuaminiana tena, ni mwendo wa kutuhumiana na kuviziana. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Baba ana chumba chake, mama naye ana chake, ama la chumba ni kimoja lakini kila mmoja ana kitanda chake.

Hakuna upendo, hakuna sharing, hakuna majadiliano ya changamoto, ya maumivu ya kushinda na kushindwa, ya kutiana moyo na kufarijiana, kila mtu kivyake, kila mtu na lwake. [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji24][emoji17][emoji17][emoji17]

Karibuni wanandoa wote, ni mada ya kupeana faraja na kushare maumivu. Itambueni nguvu ya kuongea, kuongea hupunguza maumivu mengi, kupitia mada hii utajiona hauko pekeyako na pengine utaona kuwa kumbe wewe una nafuu kubwa ukisikia ya mwenzako. Jisikie huru ufunguke.

Funguka kwenye ndoa yako iliyoumizwa na kujeruhiwa sana, iliyotiwa vidonda na makovu ya kila aina;
~ Ya usaliti,
~ Ya kuchapiwa,
~ Ya kusingiziwa,
~ Ya kunenewa mabaya,
~ Ya kudharauliwa kutukanwa na kudhalilishwa.

~ Funguka upate nafuu,
~ Funguka upate faraja,
~ Funguka upunguze sumu mwilini,
~ Funguka upate kupona sasa.

Karibuni wanandoa wote.

Jr[emoji769]
Vipi saizi tuendelee na hii mada???
Au tupo kwenye mtanange wa Lissu vs mbowe!!
 
In 2014, before going to prison, rapper Gucci Mane entrusted his girlfriend, Keyshia Ka'oir who is Jamaican 🇯🇲 with $2 million to support herself!

Keyshia leveraged her entrepreneurial skills to grow that money, investing in her businesses, including Ka'oir Cosmetics & Ka'oir Fitness.

By the time Gucci was released from prison in 2016, she had turned that $2 million into $6 million, which she then returned to him when he got out of prison. The couple have remained together and is married ever since he left prison!

Keyshia understand the assignment & stayed true to her man!💯✌️
1736762903410.jpg
 
Back
Top Bottom