Ilikuwa JCBAaah, ilikuwa Caterpillar nini. Ukapuliza spray kwenye Air Cleaner.
Kwa sasa ukiwa na box loader/side loader kupata Kazi ni rahisi maana zipo chache Sana.
Aaaaah ouk sawa, mf wa hizo gari?Kongo Zambia, Malawi Burundi nk
Mfano?[emoji848]
Halafu haihitaji lowbed kuibebaKwa sasa ukiwa na box loader/side loader kupata Kazi ni rahisi maana zipo chache Sana.
View attachment 1678540
Yaani ni gari zozote kubwa na ndogo hata za mizigo pia ambazo wamiliki wake wako kwenye hizo nchi ambazo hazina bandari hivyo husafirishwa na meli mpaka bongo au Mombasa Kenya na kisha kutembezwa mpaka final destinationAaaaah ouk sawa, mf wa hizo gari?
Shauri zako, mimi sibahatishi. Ni ukweli kabisa huyu ni mwanaume na. Sio binti🤣🤣🤣🤣🤣🤣mchokozi wewe! Angalia sasa hayo maandishi! Mimi sitii neno.
Hii inatembea yenyewe inabeba kontena na kushusha. Pia unaweza ukamuhamishia mtu kontena na kusafirisha mwenyewe.Halafu haihitaji lowbed kuibeba
Kwani huwa mnajadili kuhusu jinsia yangu mie? Duuuuh makubwa haya, afu sikua najua hili.Shauri zako, mimi sibahatishi. Ni ukweli kabisa huyu ni mwanaume na. Sio binti
Hapo sasa nimeelewa babu, thanksYaani ni gari zozote kubwa na ndogo hata za mizigo pia ambazo wamiliki wake wako kwenye hizo nchi ambazo hazina bandari hivyo husafirishwa na meli mpaka bongo au Mombasa Kenya na kisha kutembezwa mpaka final destination
Samahani alifikiri wewe ni Mrembo ndo nikamwambia Hapana wewe ni kijana wa kiumeUlivyo mtag huyo m2 had nimeogopa, kwan kuna nn? Mbna sielew.
Hapa unatafuta Side loader trailer tu. Hizo tela zipo ambazo zina mashine yake inayojitegemea Kwa ajili ya kutoa nishati itayotumika kunyanyua kontena na nyingine zinatumia nishati kutoka kwenye gari.Ngoja nifanye maarifa ya kumiliki moja
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]ngoja nipitieHapa unatafuta Side loader trailer tu. Hizo tela zipo ambazo zina mashine yake inayojitegemea Kwa ajili ya kutoa nishati itayotumika kunyanyua kontena na nyingine zinatumia nishati kutoka kwenye gari.
Saizi mpaka mchina ana tela zake za side loader.