Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Logic ya kukagua magari nje ilikua kuhakikisha magari yasiyo na viwango hayaruhusiwi kuja nchini. Yanabaki hukohuko. Sasa TBS imeamua yakaguliwe baada ya kufika bandarini.

Yani ukiagiza gari Japan hata kama ni "mkweche" una uhakika litafika Dar. Na baada ya kukaguliwa na kuonekana ni "mkweche" utaambiwa ukalipie kwenye karakana ya UDA litengenezwe.

UDA watakutengenezea kwa gharama wanazotaka. Umenunua $2,000 unaambiwa matengenezo ni TZS 5M, hapo bado TRA hawajakutandika kodi ya 7M. Kama huna hela za matengenezo unalidump gari lako na kuondoka. Kwa kifupi tumeamua kuwa dampo.

Kwanini magari yasikagukiwe hukohuko nje ili kupunguza mlundikano wa magari mabovu nchini? Kwanini tunalazimisha kukagua magari hapa nchini? Tuna wataalamu wa kutosha? Teknolojia ya kutosha? Vitendea kazi vya kutosha? Bandari ya Dar inaingiza karibu magari 5000 kila wiki. Je tutaweza kukagua yote kwa wakati?

Je tumeamua kukagua magari yote nchini ili kuongeza mapato? Kwa kuwa karakana zitakazotengeneza ni za serikali hivyo serikali itajiongezea mapato?

Kwa sasa ukiagiza gari dogo (Saloon, SUV au Hatchback) unalipia ukaguzi karibu $300. TBS wanagawana pesa hizo na ma-agent wanaowasaidia kukagua kwenye nchi magari hayo yanapotoka. Je kwa sasa TBS wanataka kuchukua "mzigo wote" wenyewe bila kugawana na ma-agent hao ili kuongeza mapato? Je tumeruhusu nchi iwe "dampo" for the expense ya kuongeza mapato?

Serikali inapaswa kujitafakari upya juu ya uamuzi huu. Ukaguzi uendelee kufanyika hukohuko magari yanapotoka. Ikionekana hayana viwango yabaki hukohuko.

Rafiki yangu aliwahi kulipia $5,500 Japan lakini baada ya ukaguzi gari ikaonekana ni chini ya kiwango. Akapewa option ya kuchagua gari jingine kwa pesa hiyohiyo. Akapata gari zuri. Lakini kwa utaratibu mpya wa TBS gari ingefika Dar ndo aambiwe ni chini ya kiwango. Halafu ipelekwe garage ya UDA apewe "invoice" ya kulipia mamilioni. Kama hawezi aitelekeze gari[emoji848]
 
Logic ya kukagua magari nje ilikua kuhakikisha magari yasiyo na viwango hayaruhusiwi kuja nchini. Yanabaki hukohuko. Sasa TBS imeamua yakaguliwe baada ya kufika bandarini.

Yani ukiagiza gari Japan hata kama ni "mkweche" una uhakika litafika Dar. Na baada ya kukaguliwa na kuonekana ni "mkweche" utaambiwa ukalipie kwenye karakana ya UDA litengenezwe.

UDA watakutengenezea kwa gharama wanazotaka. Umenunua $2,000 unaambiwa matengenezo ni TZS 5M, hapo bado TRA hawajakutandika kodi ya 7M. Kama huna hela za matengenezo unalidump gari lako na kuondoka. Kwa kifupi tumeamua kuwa dampo.

Kwanini magari yasikagukiwe hukohuko nje ili kupunguza mlundikano wa magari mabovu nchini? Kwanini tunalazimisha kukagua magari hapa nchini? Tuna wataalamu wa kutosha? Teknolojia ya kutosha? Vitendea kazi vya kutosha? Bandari ya Dar inaingiza karibu magari 5000 kila wiki. Je tutaweza kukagua yote kwa wakati?

Je tumeamua kukagua magari yote nchini ili kuongeza mapato? Kwa kuwa karakana zitakazotengeneza ni za serikali hivyo serikali itajiongezea mapato?

Kwa sasa ukiagiza gari dogo (Saloon, SUV au Hatchback) unalipia ukaguzi karibu $300. TBS wanagawana pesa hizo na ma-agent wanaowasaidia kukagua kwenye nchi magari hayo yanapotoka. Je kwa sasa TBS wanataka kuchukua "mzigo wote" wenyewe bila kugawana na ma-agent hao ili kuongeza mapato? Je tumeruhusu nchi iwe "dampo" for the expense ya kuongeza mapato?

Serikali inapaswa kujitafakari upya juu ya uamuzi huu. Ukaguzi uendelee kufanyika hukohuko magari yanapotoka. Ikionekana hayana viwango yabaki hukohuko.

Rafiki yangu aliwahi kulipia $5,500 Japan lakini baada ya ukaguzi gari ikaonekana ni chini ya kiwango. Akapewa option ya kuchagua gari jingine kwa pesa hiyohiyo. Akapata gari zuri. Lakini kwa utaratibu mpya wa TBS gari ingefika Dar ndo aambiwe ni chini ya kiwango. Halafu ipelekwe garage ya UDA apewe "invoice" ya kulipia mamilioni. Kama hawezi aitelekeze gari[emoji848]
Nadhani waliosema yakaguliwe huko huko kabla hayajaingia nchini walikua na point kuzidi hawa wa sasa wenye shabaha ya kuongeza mapato kwa serikali tu, bila kuangalia madhara kiujumla.
 
Fursa hii wadau, wale ambao bado tupo benchi.
Worldvision-Tanzania, nafasi 14 za madereva.
Link hii:
 
Nadhani waliosema yakaguliwe huko huko kabla hayajaingia nchini walikua na point kuzidi hawa wa sasa wenye shabaha ya kuongeza mapato kwa serikali tu, bila kuangalia madhara kiujumla.
Huko kwa walioenda shule na kuelimika
 
 
Logic ya kukagua magari nje ilikua kuhakikisha magari yasiyo na viwango hayaruhusiwi kuja nchini. Yanabaki hukohuko. Sasa TBS imeamua yakaguliwe baada ya kufika bandarini.

Yani ukiagiza gari Japan hata kama ni "mkweche" una uhakika litafika Dar. Na baada ya kukaguliwa na kuonekana ni "mkweche" utaambiwa ukalipie kwenye karakana ya UDA litengenezwe.

UDA watakutengenezea kwa gharama wanazotaka. Umenunua $2,000 unaambiwa matengenezo ni TZS 5M, hapo bado TRA hawajakutandika kodi ya 7M. Kama huna hela za matengenezo unalidump gari lako na kuondoka. Kwa kifupi tumeamua kuwa dampo.

Kwanini magari yasikagukiwe hukohuko nje ili kupunguza mlundikano wa magari mabovu nchini? Kwanini tunalazimisha kukagua magari hapa nchini? Tuna wataalamu wa kutosha? Teknolojia ya kutosha? Vitendea kazi vya kutosha? Bandari ya Dar inaingiza karibu magari 5000 kila wiki. Je tutaweza kukagua yote kwa wakati?

Je tumeamua kukagua magari yote nchini ili kuongeza mapato? Kwa kuwa karakana zitakazotengeneza ni za serikali hivyo serikali itajiongezea mapato?

Kwa sasa ukiagiza gari dogo (Saloon, SUV au Hatchback) unalipia ukaguzi karibu $300. TBS wanagawana pesa hizo na ma-agent wanaowasaidia kukagua kwenye nchi magari hayo yanapotoka. Je kwa sasa TBS wanataka kuchukua "mzigo wote" wenyewe bila kugawana na ma-agent hao ili kuongeza mapato? Je tumeruhusu nchi iwe "dampo" for the expense ya kuongeza mapato?

Serikali inapaswa kujitafakari upya juu ya uamuzi huu. Ukaguzi uendelee kufanyika hukohuko magari yanapotoka. Ikionekana hayana viwango yabaki hukohuko.

Rafiki yangu aliwahi kulipia $5,500 Japan lakini baada ya ukaguzi gari ikaonekana ni chini ya kiwango. Akapewa option ya kuchagua gari jingine kwa pesa hiyohiyo. Akapata gari zuri. Lakini kwa utaratibu mpya wa TBS gari ingefika Dar ndo aambiwe ni chini ya kiwango. Halafu ipelekwe garage ya UDA apewe "invoice" ya kulipia mamilioni. Kama hawezi aitelekeze gari[emoji848]
wamelenga kupata mapato tu wao hawaangalii ni kwajins gan huyo mtu anaumia
 
Raha ,mzuka wa manual gear
 
Utamu wa manual
 
 
Screenshot_20210123-161316.jpg
 
Back
Top Bottom