Hii link haifunguki hebu fanya namna nyingine plsHapa unatafuta Side loader trailer tu. Hizo tela zipo ambazo zina mashine yake inayojitegemea Kwa ajili ya kutoa nishati itayotumika kunyanyua kontena na nyingine zinatumia nishati kutoka kwenye gari.
Saizi mpaka mchina ana tela zake za side loader.
Fungua link Hizi, ikigoma ingia YouTube andika Side loader trailer au Box loader trailer.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Fungua link Hizi, ikigoma ingia YouTube andika Side loader trailer au Box loader trailer.
Inawezekana kuna chimbo jipya au ni ishu za mawe na kokoto na mchanga wakeLugoba Kuna nini naona Saizi roli zenye tela za tipper zinaongezeka Kwa Kasi, na wale waliokimbia kwenye makaa ya Mawe Songea wamehamia huko.
Alibaba zipo nyingni mno za mchina
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani wee una ushahidi juu ya hilo kuwa mie wa kiume? Puliiiiz usinikoseshe bahati ya kuhongwa ndinga. LolSamahani alifikiri wewe ni Mrembo ndo nikamwambia Hapana wewe ni kijana wa kiume
Jomoneeeeeeh babu tanteeeeeh ndo naelekea kulichukua hivo.Ile BMW yako nimepaki palepale funguo utaikuta kwa mlinzi getini
Makaa ya mawe wapi huko songea? Mkako au Muhukuru? Na kampuni ipi? KAMBAS, MCHEKANAO, au DIDI?Lugoba Kuna nini naona Saizi roli zenye tela za tipper zinaongezeka Kwa Kasi, na wale waliokimbia kwenye makaa ya Mawe Songea wamehamia huko.
Watu na Songea yao, wanavyotiririka heheheMakaa ya mawe wapi huko songea? Mkako au Muhukuru? Na kampuni ipi? KAMBAS, MCHEKANAO, au DIDI?
Bae twende nikupeleke kwetu UNGONINI, ukawaone wakwe.Watu na Songea yao, wanavyotiririka hehehe
Ndo najipanga babe ili tunavyoenda napeleka na mahari kabisaaaaaBae twende nikupeleke kwetu UNGONINI, ukawaone wakwe.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Leo hii unaikataa jinsia yako? Makubwa haya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani wee una ushahidi juu ya hilo kuwa mie wa kiume? Puliiiiz usinikoseshe bahati ya kuhongwa ndinga. Lol
Mjukuu hebu angalia profile kwanza....Bae twende nikupeleke kwetu UNGONINI, ukawaone wakwe.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Wewe ni culture me ?Ndo najipanga babe ili tunavyoenda napeleka na mahari kabisaaaaa
Naam, ndie mimi kwenye muonekano mpya
Huyo ni babe wangu ananifahamu nje ndani, hajakosea wala hajachanganya.
Wooooooooooooow ma baeeeeeh, [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590]Ndo najipanga babe ili tunavyoenda napeleka na mahari kabisaaaaa
Mie sijakataa mbona, ila nimeuliza wee una uhakika juu ya jinsia unyohisi ninayo.Leo hii unaikataa jinsia yako? Makubwa haya