Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Hii imekua shida kubwa sana mpaka kuwa kero yaani. Wanakera sana.
Last week nimeandikiwa 30 ya kuvuka zebra nikiwa highway...nilibishana nao mpaka kidogo tushikane mashati
 
Last week nimeandikiwa 30 ya kuvuka zebra nikiwa highway...nilibishana nao mpaka kidogo tushikane mashati
The same to me too; Kuna Mmama mmoja Traffic pale Mbezi, Tangi Bovu hana kazi zaidi ya kuwaandikia 30 ya kuvuka zebra bila kusimama na anadai leseni kwa nguvu sana hana kauli nzuri hata kidogo.

Jumatatu ile aliniandikia nikamwambia mbona nlisimama akasema uliondoka wakati bado watu hawajamaliza kuvuka kuna Mama ana mzigo sijui hajavuka. Daah!! Alinikera sana ni kama vile amevurugwa akilini anamtafuta wa kummalizia hasira zake.

SHAME!!
 
Nadhani atakuwa huyo huyo mimi aliniandikia Kiluvya madukani..mweusi hivi anavaa miwani
 
Madereva,hela ya mafuta ni kwa ajili ya gari sio kuipiga panga halafu gari linatembelea hewa.
 
Muda mwingine magari tunayaharibu wenyewe yaani. Unaambiwa uweke ya elfu50, unaweka kidebe cha elfu10. I
Na hakuna mafuta yenye madhara kwa gari kama mafuta ya kidebe
 
kuna askari nilimpa leseni yangu baada ya wiki nakuta kumbe aliniandikia kabla sjalipia gari ikauzwa mpaka saiz ni mwezi na wiki 2 cjalipa ivi deni mwisho sh ngap
 
kuna askari nilimpa leseni yangu baada ya wiki nakuta kumbe aliniandikia kabla sjalipia gari ikauzwa mpaka saiz ni mwezi na wiki 2 cjalipa ivi deni mwisho sh ngap
Itapanda mpaka hata laki 4
 
Kuna tabia baadhi ya madereva wanayo anakaa mbele yako anaenda taratibu afu ni high way unampigiaa hon anakuwa kama hakuskii na hakufai kulipita gar la mbele au dereva toyo anakaa kat kat unampigia hon hapish au anakutukana sa unajiuliza huyu hapish au anakutukana anajuaje unampigia hon gar yako imepata hitilafu labda break hamna? Kama gar yake inashida awashe hata hazard basi lakini wap ila wakiskia hon ya bus au scania wanaingia vichakan
 
Hawa ni wale wakuletewa leseni nyumbani na kama kuna mahali serikali imeyumba ni hapa...pale TRA wanachojua ni kukusanya mapato tu..genuinity ya nyaraka za kufaulu driving hazipewi kipaumbele sana
Kuna tatizo la kudrive c chini ya mwendokasi kusudiwa..huku tunachojua ni kuzidisha mwendokasi basi ...lakini kwa sheria za barabarani hata ukiendesha chini ya mwendo kusudiwa ni kosa vilevile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…