Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Hapo ni kilingeni...una bahati hujapata madhara

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Hello Madereva,

Kuna hizi nafasi za kazi za madereva wa magari na madereva wa bodaboda zimetangazwa na shirika la MDH... Ni kazi za temporary (January-Septemba 2021). Jaribuni bahati yenu, deadline imekaribia sana (ni keshokutwa tarehe 10)-Ila mnaweza kui meet maana hawahitaji vitu vingi sana. Sana sana ni vyeti vyako, picha ya passport size na barua ya wadhamini wawili na mwenyekiti serikali za mitaa. Penye nia pana njia.
Nimepost hapa baada ya Mshana Jr kuniomba nifanye hivyo. See the links below


 
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545] Thanks Dr..!!

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Nunueni kofia zenu sasa
 
nadhani humu na askari wa barabarani watoe koment zao sio kusoma tuu na kubadili mbinu zenu.wengi wenu ni washenzi sana tukiwapa ata leseni zetu mkague tuu mnatuchorea mkeka bila kosa lolote!!matokeo yake deni linabet bila dereva kujua.ukishtuka iko elf60
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu kazi za it ni tofauti Sana na jinsi unavyofikiri.jambo la Kwanza ukitaka kupata hizo gari ujuane na clearing agent au ujuane na dereva mwenzako ambae atakuunganisha na hao mawakala wa forodha ndipo unaweza pata kazi vinginevyo utakuwa unapoteza muda bure tu
 
Mkuu hongera Sana kwa mada uliyoanzisha bila kusahau elimu unayotoa.nakupongeza Sana kwa sbb hii taasisi ya udereva ni kubwa Sana lkn ni moja ya kazi ambazo naweza kusema serikali imeisahau .yaani umekuwa Kama mtoto yatima.ni moja kati ya kazi iliyoajiri watanzania wengi Sana.shida labda ninayoiona ni kwakua ni kati ya kazi ambazo walio wengi sio wataaluma .mkuu Kama itakupendeza Mimi pia ni dereva sikubahatika kuwa na elimu ya secondary lkn nilimaliza darasa la saba.nina leseni ya udereva na pia nilipitia chuo Cha usafirishaji NIT nikapata cheti Cha PSV Nina majaraja yote yanayoniruhusu kuendesha magari ya abiria makubwa na madogo pia Nina leseni inayoniruhusu kuendesha magari makubwa ya mizigo na nimeenda masafa marefu katika nchi mbalimbali east Central and southern.kama utakuwa na connection usisite kunipa mkuu .nipo tayari kufanya kazi nchi yoyote kwa utii na kufuata taratibu zote zinazostahili.
 
Amina asante kwa pongezi nitafanya jitihada kukutafutia connection kwakuwa umekuwa muwazi na mkweli

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Husiongee kitu husichokijua....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…