Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp ni kweli uliuwa na wapita njia wanasema ilikuwaje?Nakumbuka siku nilipata ajali ambayo hata sielewi ilikuwaaje ghafla tu najikuta nipo kwenye mashamba ya mpunga tena kwenye mkondo wa maji,ile nashtuka nasikia watu wakisema kaua kaua kwa wenge nililopata nikatokea kwenye dirisha nikajitosa kwenye maji dahh!! hii siku siwezi isahau
Currently sina any,but nilikuwa namtahadharisha aiondoe hiyo avator yenye ma vodca mapema iwezekanavyo.Pls msaidie kama una connection
Jamaa hakufa mpaka sasa tunapiga stori za hapa na pale,na nimzima wa afya teleVp ni kweli uliuwa na wapita njia wanasema ilikuwaje?
Kuna tankers world oil,muamed Arab,primefuels.Makampuni gani yanalipa vizuri kwa madereva wa malori yanayoenda nje ya nchi kwa hapa Tanzania?
MrejeshoHapa uje ulete mrejesho
Mshana ne connait plus françaisBienvenue mshana jr
SauliMadereva wa mabasi wanamakusudi.
anakupigia honi kwa karaha anaomba njia umpe gepu mahala pasipo wezekana.alafu unakuta yupo mafuta na keshafika nyuma yako,ukimcheki kwenye side mira unamaonakama kagusa kabisa buti ya gari yako.
Madereva wa mabasi makiwa barabarani mpunguze haraka.
no.1Sauli
Maafa mbona yashatokea sana tu,ila wanachkulia poa awa wajuba.Ila kuna siku watatuletea maafa makubwa
Nilichogundua ni kwamba mamlaka hazijawa serious na usalamma wa abiroa na mali zao na kuna madai baadhi ya ma RPC kuwa kwenye payroll ya baadhi ya wamiliki wa nabusMaafa mbona yashatokea sana tu,ila wanachkulia poa awa wajuba.