Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa hili,Anzia VETA ili ujifunze mengi
Hoja ni kuingiza gari hapo, Dereva mwenye akili huwezi kubali kuingiza gari mahali kama hapo.. Mkatalie Tajiri kuwa hapa nilipofika ni mwisho, sisogezi gari zaidi ya hapa.. Akitaka atume Dereva mwingineWewe ulipokuwa unapokea hela bila kudadisi hali ya njia, ulitegemea gari ikifika hapo ivukeje?
Tajiri anayethamini mali yake hawezi ruhusu gari iende popote tu bila kujua hali ya njia ikoje!!
Kazi ngumu siku iz,bora izame tuchimbe ila sio kumwambia tajiri kuwa umeshindwa kupita,akituma dereva akaja ikapita we unazan utakuwa na kibarua hapo!Hoja ni kuingiza gari hapo, Dereva mwenye akili huwezi kubali kuingiza gari mahali kama hapo.. Mkatalie Tajiri kuwa hapa nilipofika ni mwisho, sisogezi gari zaidi ya hapa.. Akitaka atume Dereva mwingine
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hoja ni kuingiza gari hapo, Dereva mwenye akili huwezi kubali kuingiza gari mahali kama hapo.. Mkatalie Tajiri kuwa hapa nilipofika ni mwisho, sisogezi gari zaidi ya hapa.. Akitaka atume Dereva mwingine