Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kafunika sana
Kaona hawezi dharaulika kwa kiwango sgrNdio sababu!?
HabariHahaha ndg, leseni nimechukua leo ila naomba msaada namna ya kujaza ajira portal. Nimeshindwa kujua cheri cha basic na leseni unajaza sehemu ipi Kati ya professional na academic.
Nisaidie sehemu ya ku upload
Cheti na leseni na weka kwenye category ipi Kati ya professional na academic kwenye ajira portalNiambie
Usimdharau 'mtu' kwa mwonekeno hususani kama humjui vizuri. View attachment 2405335
Usicheze na beetle ni mziki mwingine kabisa barabaraniUsimdharau 'mtu' kwa mwonekeno hususani kama humjui vizuri. View attachment 2405335
Ahsante Sana kwa UKUMBUSHO huu ni HATARI SANA hasa ukiwa PEKE yako.TAHADHARI KWA ABIRIA WAISHIO DAR ES SALAAM
Ikifika jioni maeneo ya Mnazi Mmoja kwa sababu ya shida ya usafiri wa kutoka katikati ya jiji kwenda maeneo mbalimbali pembezoni mwa mji, kuna wapiga debe hutangaza usafiri kwa nauli ya shs Elfu Mbili, kwenye moja ya Magari Madogo na Noah. Hususani maeneo ya karibu na Benki ya CRDB Tawi la Lumumba.
Majuzi jamaa Mmoja alipanda hizo gari akiwa na wenzake ikidaiwa inaelekea Gongo la Mboto. Matokeo yake walitekwa na watu wenye silaha ambao awali walijifanya nao ni wasafiri na kuporwa kila kitu baada ya kupelekwa Pugu Mnadani Wakasachiwa huku wakitishiwa kupigwa risasi na kuchinjwa kwa visu walivyokuwa wamebeba.
"Ukiweza wajulishe wengine ili wapande usafiri huo kwa tahadhari au wakiweza waachane nao"
Sawa nikajua unajua chochoteMmh sina ujuzi kwa hakika maana sijawahi kufanya application yoyote lakini Automatically ni ujuzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]WAENDESHA BAISKELI WAUAWE TU! [emoji706][emoji706]
Baiskeli zina ua polepole uchumi wa Dunia.
Mfanyakazi mmoja wa benki aliwafanya wanauchumi wafikirie aliposema maneno haya:
"Waendesha baiskeli ni janga kwa uchumi wa nchi: hawanunui magari na wala hawakopi pesa kununua, hakuna anayelipa bima.Hawanunui mafuta, Hawalipii huduma za gari, na hakuna matengenezo yanayohitajika. Hawalipii maegesho. Hawasababishi ajali kubwa. Uwepo wao unafanya kusiwepo haja ya barabara nyingi.
Na hawanenepi hawa watu [emoji706][emoji706].
Watu wenye afya bora kama hawa, hawafai kwenye uchumi.Hawanunui dawa. Hawaendi hospitalini wala kuonana na madaktari.
Hawaongezi chochote katika Pato la Taifa.Hebu fikiri tu, Kila mgahawa mpya wa KFC unazalisha ajira 30 zaidi, madaktari wa moyo 10, madaktari wa meno 10, wataalam wa lishe na chakula 10 - achilia mbali watu wanaofanya kazi katika mgahawa wenyewe."
Kipi muhimu: baiskeli au KFC?.Na hawa watembea kwa miguu ndio hawafai kabisa. Yani hawanunui hata baiskeli![emoji23]