Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Mada Maalum ya Madereva: Changamoto, Uzoefu, Vituko na Connections

Kaka habar mm ni dreva wa Lori na hata gari ndogo nilikuwa naomba connection hata za IT napambana sana ila shida connection hata leo nilitoka uko uko....nafasi yeyote hile ya udreva napambana nao hata iwe pikipiki ama bajaji....kama unaconection namba yangu ni hi 0687354161
Mungu akujaalie
Mshana Jr ni mtu na nusu, hautopita bure mikononi mwake
 
20221106_135606.jpg
 
 
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Wazo Medard Richard Mashauri amesema watu wawili ambao ni mume na mke walikuwa kwenye gari ndogo ambayo imegongwa na Lori la mchanga katika eneo la Tegeta Wazo jijini Dar es Salaam
20221111_170141.jpg
 
Askali wa wazo wanahusika na vifo ivyo maana wameona cement ni bora kuliko Uhai nguvu kazi ya taifa

 
Back
Top Bottom