Tofauti hapo ni cabins na bei kama unanunua lori jipya. , ie, Kama unanunua used kwa ajili ya kazi zako , nunua cabin yoyote unayoona budget yako inaweza,
Top line ni kwa ajili ya safari ndefu kwa madereva Wawili , zina vitanda viwili, makabati Mengi kwa ajili ya kuhifadhia vitu , reserve kwa ajili ya kuweka freezer ,cofee maker na microwave.
Highliner hii ni ya pili kwa ukubwa inatumika katika mazinyira Kama ya top liner ila Ina nafasi kidogo.
Stream liner hii hasa sio cabin type , ila ni jinsi gani cabin inawezo wa kupenyesha Upepo ili kupunguza ukinzani , na hivyo kupunguza matumizi ya mafuta, kwa maana hiyo streamline inaweza kuwa Highline , top line au normal cabin.
Nina swali la ufahamu hapo mkuu mshana jnr na wengine wenye majibu. Kwa kuangalia tu kwa macho na hata kwa mbali waweza tofautisha kati ya carina ti na si? Na je zina tofauti gani kitaalam? Nauliza kwa sababu nilienda kutafuta taa ya carina ti kwenye duka la spea used na gari nilikuwa nalo, nilipomwuliza muuzaji nahitaji taa ya carina ti akaniuliza gari ndo ile?, akasema ile siyo ti ni si wamepiga chata tu.... Kweli sijajua hadi leo hii yangu ni ti au si. Kwenye kadi ya gari imeandikwa carina ti.
Nafikiri moja ya tofauti Kati ya Si na Ti iko kwenye engine, Si huwa na engine ya 5a -1490 cc na Ti huwa na engine ya 7a -1790cc
Ni kweli Kuna watu wanajua kuzitofautisha kwa kuziona tu .
Naomba kurekebisha kidogo.Kinyume cha hicho ulicho andika ndio ukweli.Carina Ti ina Cc 1500 na Si ina Cc 1800.Na watu wengi wa taxi wanazipenda Ti kuliko Si kwa sababu ya engene ndogo iliyopo kwenye Ti.
Tofauti hapo ni cabins na bei kama unanunua lori jipya. , ie, Kama unanunua used kwa ajili ya kazi zako , nunua cabin yoyote unayoona budget yako inaweza,
Top line ni kwa ajili ya safari ndefu kwa madereva Wawili , zina vitanda viwili, makabati Mengi kwa ajili ya kuhifadhia vitu , reserve kwa ajili ya kuweka freezer ,cofee maker na microwave.
Highliner hii ni ya pili kwa ukubwa inatumika katika mazinyira Kama ya top liner ila Ina nafasi kidogo.
Stream liner hii hasa sio cabin type , ila ni jinsi gani cabin inawezo wa kupenyesha Upepo ili kupunguza ukinzani , na hivyo kupunguza matumizi ya mafuta, kwa maana hiyo streamline inaweza kuwa Highline , top line au normal cabin.
Usikuli kila story mkuu,utakuta tofauti yake ktk ulaji mafuta na hizo unazodhani hazili ni less than 2km kwa kila lita ktk maeneo yenye jam. Ebu linganisha na ubora wa gari ktk aspect nyingine afu uhitimishe. Kwangu mimi CRESTA bado nichaguo sahihiNilikuwa na nia ya kununua gari hilo ila kwa sasa umebadili mawazo yangu. Asante kwa reply yako kaka.
Mkuu mshana ebu tupe ubora wa gari aina ya harrier maake bei zake zimeshuka kidogo sokoni na wengi tunampango wa kuhamia huko! Mfano mimi nina rav 4 new model lakini Kiukweli naizimia sana harrier.
Baki na rav4 yako harrier zina ugonjwa sugu wa gearbox na ni gari mayai sana ambayo ni handle with care
Mshana mpaka huku upo ?ok naswali sample ya engine oil inavuja na niliweka oil ya total sasa imepungua nawezakuweka oil ya pb kama kuongezea?
Nawashukuru sana mshana jnr na ansah miles , rav4 shida yake space ndogo sana! Mbona kuna wengine wanadunda nazo sana hizo hizo harrier?
Idea nzima ya kunyanyua matairi ni kupunguza matumizi ya matairi hayo kipindi ambacho gari halijabeba mzigo, kumbuka malori yana matairi Mengi si kwa ajili ya urembo ,ni kutokana na mizigo mizito yanayobeba. ,ilikiwa tupu kunakuwa hakuna umuhimu wa kuyatembeza yote,
Mifumo ya kunyanyua matairi iko miwili , kutegemeana na aina ya suspension zilizotumika , kwa steel suspension mfumo unaotumika ni hydraulic , kwa air suspension mfumo unaotumika huwa ni wa electronic solenoid ambayo kimsingi huwa ni hewa . kwa bahati mbaya sina uwezo wa kuielezea humu jamvini, ila ni mifumo rahisi Sana Kama unaielezea kwa vitendo .
Kwa kuongezea tu , kuna aina mbili za kunyanyua matairi,mid lift na tag axle
mid lift , hii hunyangua tairi za mbele ya diff,
Tag axle ,hunyanyua tairi za nyuma ya diff,
Mid lift huwa inanyanyua tairi ikiwa empty tu, Tag axle huwa inanyanyua hata Kama Ina mzigo , idea ni kuongeza mkandamizo kwenye diff, Kama itatokea kuteleza .nk, na ndio sababu tag axle huwa zinatumika Sana kwenye rough roads.
Yale matairi mkuu huwa ni spare.
Yanainuliwa juu ili yasipitie depreciation.
Yanainuliwa kwa mfumo gani? Sijui....