Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Yah ni kweli kabisa,hata sijui kwanin watu wanazarau haya magari kiasi hiki,,mi mwenyewe nimewai kutoka dar mpk mza kwa Ist kwa masaa 12 non stop

Ist haina shida kwa mwendo huo, mdau anataka kujua kuhusu passo ambayo kiutendaji si kama ist , mjuze kuhusu passo kwa mwendo huo mrefu dar hadi mwanza bila kupumzika
 
J33 sijaidharau asilani jamaa aliulizia nonstop na si passo tu gari yeyote ile hata kama inafika bila wasiwasi lakini si jambo jema hata kwa dereva mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Heee kumbe passo sio gari ya kununua kabisa haiwezi fika.mwanza bila kupumzika njiani.....kumbe bora nikomae na swift

Sijamaanisha hivyo kwa afya ya mashine si jambo jema kabisa kwenda km nyingi hivyo bila kupumzika
 
J33 sijaidharau asilani jamaa aliulizia nonstop na si passo tu gari yeyote ile hata kama inafika bila wasiwasi lakini si jambo jema hata kwa dereva mwenyewe

Labda kwa tafsiri ya nan stop kwamba hata kunawa uso hakuna na kwa dereva mmoja nadhana hata v8 si salama.
 
Last edited by a moderator:
Nahitaiji gear box ya 1nz engine, kwa mwenye nayo au ushauri wa wapi pakuipata iliyo bora na kwa bei ya kawaida
 
Magari yote ya Ford hasa ya kisasa nikimaanisha kuanzia miaka ya 1992 yana umeme mwingi sana, kwa mujibu wa magari yote ya kisasa,yanapokua na hitilafu ni jambo la muhimu sana kufanya computer diagnostics, kwa bahati mbaya sana Ford hawaruhusu software zao kwenye scan tool nyingi, hii hupelekea scan tool nyingi kushindwa kuzisoma Ford mpaka fundi awe na scan tool ya Ford yaani Ford VCI,kwahoyo mafundi wengi wanashindwa kuzihudumia Ford kwa ufasaha.
Eng. Mollel
 
Kwa kawaida huwezi ku re-set ODO meter pasipo kutumia scan tool, kwa bahati mbaya sana EPA(Environmental Protection Argency) wamepinga sana juu ya uwezo wa scan tool ku-reset ODO kwasababu za uhifadhi wa mazingira kwani watu wengi waliitumia sana huduma hii kudandanya umri halisi wa gari,hivyo kupelekea huduma hii kusitishwa, ila mchina kama kawaida yake bado mashine zake zinao uwezo huo, nione mimi kwa huduma hii😛oa
Eng. Mollel
 

Mkuu Kamandawasua..Nina garia yangu Toyota Cami nahitaji kuifanyia diagnostics, sasa kwa Dar sijui ni sehemu gani ni wataalam wazuri wa hiyo kazi...maana nahisi gari yangu ulaji wake wa mafuta ni mkubwa kidogo tofauti na inavyotakiwa. Natanguliza shukurani..
 
ku reset ODO meter hakuhitaji kubobea, ila kunahitaji kifaa maalumu yaani 'scan tool', ila scan tool za kisasa zote zimeondolewa uwezo huo kwasababu za kimazingira ( environment protection), ukihitaji huduma hiyo waweza kuni inbox
Eng. Mollel
 
wadau habarini nina gari suzuki escudo old model nikiiwasha inatoa moshi mwingi mweupe lakini baada ya muda moshi huo unakata jee hili ni tatizo au ni kawaida?kama ni tatizo tiba yake ni nini?

Yaweza kuwa tatizo la mafuta au na pia services haikufanyiwa muda....
 
Msaada jmn nimetokea kuipenda hii gari bt inaniogopesha mbn bei yake iko cheap sn yard hd mtaani ss nahitaji msaada nijue uzur wake na ubaya wake
 
Samahann wakuu heshima yenu wote hum
Nilikua nashida ya kujua kati ya vitz na starlet ipi ipo vizur zaidi kweny uimara na fuel consumption
 
Habari naomba kujua kunawakati unapoendesha gari ukapishana na gari lingine dereva wa hill gari unalopishana nalo ANAKUWASHIA INDICATOR Ya upande wake hivi huwa anaashiria nini?

Angalizo: usije ukadhani dereva wa gari la mbele yako anao wajibu wa kukujulisha kama kuna gari linakuja ama laa...wajibu huo ni wako dereva mwenyewe
 
Samahann wakuu heshima yenu wote hum
Nilikua nashida ya kujua kati ya vitz na starlet ipi ipo vizur zaidi kweny uimara na fuel consumption

Ninavyofahamu vits is more economy kulinganisha na starlet mana kuna vits hadi A cc 900 ila kwa uimara starlet ni jiwe..
 
Angalizo: usije ukadhani dereva wa gari la mbele yako anao wajibu wa kukujulisha kama kuna gari linakuja ama laa...wajibu huo ni wako dereva mwenyewe

Ninavyofahamu vits is more economy kulinganisha na starlet mana kuna vits hadi A cc 900 ila kwa uimara starlet ni jiwe..

Thanks broh lakin kwa barabara za huku kwetu zote si zinauwezo wa kuhimili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…