kumvumilia yeyote inatafsiri busara na makuzi ya mtu...... tuwe tunajadili issues!!
Yes, na mimi nimejadili issue, tena muhimu kuliko magari ya Gluga na Haria or what have you.
Nimeongelea tatizo sugu nchini, ukiona mtu anasema Toyota Gluga na Toyota Haria na jamii inaona ni sawa ujue kuna tatizo la msingi la kitaifa la semi literacy.
Kuna vizazi vizima, a whole litany of generations, ambavyo vilikwamishwa na kiunzi cha mtihani wa darasa la saba, na kwa walio wengi haukuwepo uwezo wa kujiendeleza kwenye shule binafsi. Ndio unapata kizazo cha Toyota Gluga.
Ukienda Ilala Shauri Moyo watu wanauza maduka ya spea za "Prado Mayai" "Rava fo new modeli" Ukiwatajia make and model hamuelewani. Wanakuuliza "Mayai sio Mayai"? Sijui kama ni mayai, haijaandikwa mayai kwenye tail end... please!
Kama taifa, tunatakiwa kushughulikia hili tatizo la watu wetu, semi-literacy, kwa vizazi vijavyo.
We ndooroooboo kwelu,hivi unadhani nilivyo andika ndio nilivyo?umechemka kwa taarifayako hizo gari zoote mbili ninazo nauliza tu na ukitaka ngeli nipo vizuri kuliko mwl wako kenge wewe
Unazo zote mbili Toyota Kluger na Toyota Gluga?
Yes, ulivyoandika ndivyo ulivyo! Utajitengaje na kituko kilichotoka kichwani mwako? Na hili sio suala la "ngeli," hili ni jina la kitu, Toyota Kluger, hakuna GLUGA!