Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Nina Honda CRV nimeanza itumia siku za karibuni, nataka kubadili oil kwenye ka diff. kadogo katikati nyuma.

Oil hiyo ndo iliyokuja nayo toka Japani sasa naibadili.
1) Oil gani bora? Nipe spacefications zake.
2) Baada ya kuiweka niibadili tena baada ya km ngapi?

Nitashukuru kwa majibu yenye uhakika.
 
Hiyo ni namba ya usajili wa gari kwahiyo haiwezi kubadilika. Mkuu kwani namba A ina shida gani?

Hahaha atakuwa anataka kuwauzia washamba wanao nunulia Gari Namba na sio engine
 

Ni mara chache sana kubadili diff oil nakushauri usifanye hivyo labda kwa situation maalum
 
Nilikuwa ninauliza kwa kawaida Suzuki Swift CC 1300 ya mwaka 2005 inatakiwa kula 1lita kwa Kilometa ngapi!!?

Je, gharama ya diagnosis pia ni Tshs ngapi!!?
 
Wakuu naomba msaada,
Kuna jamaa yangu anataka kuniuzia gari,nissan wingroad cc 1500,
Kwenye mwenye uzoefu na gari hizi anijuze tafadhali.
 
Nenda kwenye garages za Nissan ndo utapata ufumbuzi wa tatizo lako haraka.

Nenda master card msimbazi,kama hawana patana nao watakuagizia japan na utakupata kwa siku tisa au zaidi kidogo
 
Wadau kuna hii gari inaitwa Toyota probox van nimeipenda the way ilivyo naomba wanaoijua wanipe uzoefu kuhusu consumption ya mafuta na uimara wake kwa ujumla. Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…