Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Hili tumeshalizungumza hapa mara nyingi tu mkuu lakini

D=normal drive, hapa fari inashift gear hadi gear za mwisho za gari kulingana na model (kuna 4 speed, 5 speed na siku hizi 6 speed). Hapa wengi ndio huwa wanaendesha kwa kawaida

D2=hii mara nyingi huwa inatumika kuzuia mzunguko wa gear (gear ratio) usizidi gear namba mbili, ukiiweka hii maana yake gari inaweza kuondokea kwenye gear namba mbili (hasa kwenye mazingira ya barafu) lakini pia inaizuir isiende gear za juu ili kuruhusu nguvu zaidi kwa engine...unapopanda mlima mkali au kushuka, na pia kama unavuta trela

L (Low) ni kama D1 (First) na yenyewe maelezo yake kama hapo juu ila inazuia (limit) mzunguko wa gear (gear ratio) kwenye namba moja tu. kwa magari ya kisasa, bado automatically itashift kwa gear ratio za juu kama gari ikifikia RPM ya kiasi fulani kuzuia uharibifu wa engine na gear box.

Karibu kama kuna swali zaidi
Asante kamanda ubarikiwe
Maelezo yako yamejitosheleza
 
Hili tumeshalizungumza hapa mara nyingi tu mkuu lakini

D=normal drive, hapa fari inashift gear hadi gear za mwisho za gari kulingana na model (kuna 4 speed, 5 speed na siku hizi 6 speed). Hapa wengi ndio huwa wanaendesha kwa kawaida

D2=hii mara nyingi huwa inatumika kuzuia mzunguko wa gear (gear ratio) usizidi gear namba mbili, ukiiweka hii maana yake gari inaweza kuondokea kwenye gear namba mbili (hasa kwenye mazingira ya barafu) lakini pia inaizuir isiende gear za juu ili kuruhusu nguvu zaidi kwa engine...unapopanda mlima mkali au kushuka, na pia kama unavuta trela

L (Low) ni kama D1 (First) na yenyewe maelezo yake kama hapo juu ila inazuia (limit) mzunguko wa gear (gear ratio) kwenye namba moja tu. kwa magari ya kisasa, bado automatically itashift kwa gear ratio za juu kama gari ikifikia RPM ya kiasi fulani kuzuia uharibifu wa engine na gear box.

Karibu kama kuna swali zaidi

Hapo kwnye D2 kwa maelezo hayo ninamshaka km yanaukwel wowote maana unaweza kuweka D2 na ukatandika speed zaidi ya 100km/h, sasa km D2 inazuia gear zisizidi no mbili hyo speed inawezekanaje kufikia zaidi ya 100km/h????????
 
Hapo kwnye D2 kwa maelezo hayo ninamshaka km yanaukwel wowote maana unaweza kuweka D2 na ukatandika speed zaidi ya 100km/h, sasa km D2 inazuia gear zisizidi no mbili hyo speed inawezekanaje kufikia zaidi ya 100km/h????????

Yes inawezekana kabisa kufikia speed hiyo
 
Anayefahamu matumizi ya gear zilizokuwa labeled B &S
 

Attachments

  • 1442472582926.jpg
    1442472582926.jpg
    31.2 KB · Views: 323
Si vibaya nikatumia fursa.... nauza gx 100 fe 1g Cresta cc1900 kwa anayehitaji karibu.
 
Si vibaya nikatumia fursa.... nauza gx 100 fe 1g Cresta cc1900 kwa anayehitaji karibu.

Taja bei Taja namba Taja na km ilizo tembea ili mwenye kuhitaji akiona specifications avutiwee... Kwani hujajifunza jinsi ya kuandika tangazo au no skuli
 
Taja bei Taja namba Taja na km ilizo tembea ili mwenye kuhitaji akiona specifications avutiwee... Kwani hujajifunza jinsi ya kuandika tangazo au no skuli

Yote kheri... ila anayehitaji aje inbox
 
Mkuu, hiyo shift lock kwenye gear ina kazi gani?

Shift lock kwenye hizi automatic zina maana ya kwamba unaweza kutoa gear kwenye P hadi kwenye N na hivyo kutenganisha engine na gear box. That way unaweza kusukuma au kuvuta gari yako kirahisi hasi sehemu salama hasa unapopatwa na tatizo la betri kufa gafla na hivyo gari haiweza kuwaka. Cha kufanya unakibonyeza (press) then gear lever inakuwa free ku move unaiweka neutral unasukuma
 
Anayefahamu matumizi ya gear zilizokuwa labeled B &S

Wll hiyo S ni Sport mode. Kwa baadhi magari ya kisasa na kifahari huwa wanaweka hiyo option inayosaidia acceledation kwa haraka na hivyo kufikia gear za juu katika mida mfupi sana hali kadhalika
kushuka gear za chini kwa haraka.

Hiyo B nadhani itakuwa sawa na hizi D2au L kwa maana ya kazi yake.
 
Naomba mwenye uelewa wa magari haya ya jaguar na Volvo lipi halikonsume mafuta
 
Back
Top Bottom