Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Na pale unapokanyaga break ukiwa unapunguza spidi halafu gari ikawa kama inachezacheza kwa mbali tatizo linaweza kuwa nini mkuu?

Ball joints, tirod ends na brake pads /breakshoes
 
Morning all! Lengo langu si kubishana ila naeleza hali halisi iliyopo. Nimekagua taa zote,hakuna iliyoungua hata moja lakini pia ilitokea tukaangalia break pads tukakuta zimekwisha. Aina ya break pads hizi iliyokuja nazo haina kibati kile kipigacho kelele-hissing sound. Ndio sababu fundi akatoa recommendation hiyo.

Bado sio sahihi, hiyo taa inaweza pia kuwaka kwa sababu ya false alarm tu kutokana na taarifa potofu kwenye mfumo wa comp wa gari. Unaweza kuipotezea haina shida. Brake pads uwe unakagua kila unapofanya service. Ni harrier model gani mkuu?
 
wakuu nataka kununua Toyota Harrier ya mwaka 1999toka japan naombeni mwongozo napatia au nipeni uimara wake na udhaifu gari yangu yakwanza hii nisiingie mkenge
 
Asanteni kwa recommendations zenu wadau! Ngoja niufanyie kazi ushauri. Gari ni model 2360 cc,2002 year,RX 300 Lexus.
 
No 1 is ment to argue or altercate! View attachment 286565View attachment 286566

We always justify the answers with evidence. The screenshots are international vehicle simbols as displayed on dashboard, wether a symbol, acronym or a picture.


If tail lights symbol dispay on your dashboard means one of tail light needs to be replaced

Bado sio sahihi, hiyo taa inaweza pia kuwaka kwa sababu ya false alarm tu kutokana na taarifa potofu kwenye mfumo wa comp wa gari. Unaweza kuipotezea haina shida. Brake pads uwe unakagua kila unapofanya service. Ni harrier model gani mkuu?

Asanteni nyote!
 
Ntakupa hint

Well nilikuwa barabarani. Kwa kuanzia kama unapwnda fuel economy basi chukua engine 5S-FE hii ni four cylinder, 2163 CC. Nyingine ni 3000CC V6 zina nguvu sana lakini pia zinakula wewe... hizi zimeandikwa 3.0 nyuma.

Uimara wake si wa kutia shaka ni SUV unayoweza kenda nayo rough road za kawaida bila sgida mikoani vijijini n.k ili mradi usiwe na uendeshaji wa hovyo hovyo.

Ina nafasi sana ndani na ni very comfortable ndani. So go for it. Mambo ya bei nadhani utakuwa umeshayajua
 
Well nilikuwa barabarani. Kwa kuanzia kama unapwnda fuel economy basi chukua engine 5S-FE hii ni four cylinder, 2163 CC. Nyingine ni 3000CC V6 zina nguvu sana lakini pia zinakula wewe... hizi zimeandikwa 3.0 nyuma.

Uimara wake si wa kutia shaka ni SUV unayoweza kenda nayo rough road za kawaida bila sgida mikoani vijijini n.k ili mradi usiwe na uendeshaji wa hovyo hovyo.

Ina nafasi sana ndani na ni very comfortable ndani. So fo for it. Mambo ya bei nadhani utakuwa umeshayajua

Agiza kiroba cha bariiiidi hapo ulipo ila Usisahau tena kwenye GO usiweke Fo Hahahaaa
 
Jamani niwapongeze kwa ushauri mnaoendelea kutupatia kuhusu magari
hakika ni mkubwa sana...

Kwa sehemu nyingine huduma hii ingekuwa inalipiwa fedha nyingi tu.
Naombeni ufafanuzi wa gear za automatic na zinatumika wakati/kipindi gani

d, d2, L
wengi wetu huwa tunaweka gear d tu.
 
Jamani niwapongeze kwa ushauri mnaoendelea kutupatia kuhusu magari
hakika ni mkubwa sana...

Kwa sehemu nyingine huduma hii ingekuwa inalipiwa fedha nyingi tu.
Naombeni ufafanuzi wa gear za automatic na zinatumika wakati/kipindi gani

d, d2, L
wengi wetu huwa tunaweka gear d tu.


Hili tumeshalizungumza hapa mara nyingi tu mkuu lakini

D=normal drive, hapa fari inashift gear hadi gear za mwisho za gari kulingana na model (kuna 4 speed, 5 speed na siku hizi 6 speed). Hapa wengi ndio huwa wanaendesha kwa kawaida

D2=hii mara nyingi huwa inatumika kuzuia mzunguko wa gear (gear ratio) usizidi gear namba mbili, ukiiweka hii maana yake gari inaweza kuondokea kwenye gear namba mbili (hasa kwenye mazingira ya barafu) lakini pia inaizuir isiende gear za juu ili kuruhusu nguvu zaidi kwa engine...unapopanda mlima mkali au kushuka, na pia kama unavuta trela

L (Low) ni kama D1 (First) na yenyewe maelezo yake kama hapo juu ila inazuia (limit) mzunguko wa gear (gear ratio) kwenye namba moja tu. kwa magari ya kisasa, bado automatically itashift kwa gear ratio za juu kama gari ikifikia RPM ya kiasi fulani kuzuia uharibifu wa engine na gear box.

Karibu kama kuna swali zaidi
 
Back
Top Bottom