Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,320
- 18,852
Au kama bajeti inaruhusu akamate toyota vanguard mkuu
Oooh yeah.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kama bajeti inaruhusu akamate toyota vanguard mkuu
Kuna shida ya net lakini najitahidi
Changamoto yake kubwa ni vile kanaitwa ka babywalker lakini mengine yote kako vizuri mno kuanzia ulaji wa mafuta ubora wa engine na gearbox, uimara wa body, speed na upatikanaji wa vipuri.... Kachukue kama bado hutajutia
Unajua hizo ni sports cars na mafundi wetu wengi wana ufundi wa mazoea kwa mfano ishu ya exhaust na huo mngurumo inaanzia kwenye systems za aircleaner na air compression toka kwenye engine
Kwenye stering ukimaanisha miguu ya mbele.....?.....hebu cheki mambo haya......
stabilizer bush.......
stabilizer link.....
booty rubber.........
rack hand.........
kama haya yote umepitia.......sema......tuendelee na maelezo..........
0766147457 naomba mniunge kwenye group
Naomba radhi Sana kupitia post hii kwa wale wote walioomba niwa add kwenye group na kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya simu ninayotumia kuleta Shida kwenye app ya whatsapp ina naomba pia kupitia post hii Angelo anisaidie tafadhali
Mshana jr unaonaje tuanzishe group la whatsapp kwa ajili ya ushauri na kuuza magari?
plz naomba mniunge kwa no. 0658 542409
Naomba radhi Sana kupitia post hii kwa wale wote walioomba niwa add kwenye group na kushindwa kufanya hivyo kwa sababu ya simu ninayotumia kuleta Shida kwenye app ya whatsapp ina naomba pia kupitia post hii Angelo anisaidie tafadhali
habari za asubuhi mkuu Mshana..wik imepita sasa cjaungwa kwa grup naomba mniunge jmn 0658 542409
Nunua toyota carina T.IHabari zenu wadau...
Jukwaa hili limenifunza mambo mengi sana...
Naomba kuuliza kwa uzoefu wa mazingira yetu ya tz...ni gari ya aina gani unamshauri mtu anunue, ndogo...ya matumizi ya kawaida ya familia...inayodumu na inayotumia mafuta ya wastani...ambayo mtu anawezasafiri nayo maeneo yenye barabara mbovu?
Habari zenu wadau...
Jukwaa hili limenifunza mambo mengi sana...
Naomba kuuliza kwa uzoefu wa mazingira yetu ya tz...ni gari ya aina gani unamshauri mtu anunue, ndogo...ya matumizi ya kawaida ya familia...inayodumu na inayotumia mafuta ya wastani...ambayo mtu anawezasafiri nayo maeneo yenye barabara mbovu?
Habari zenu wadau...
Jukwaa hili limenifunza mambo mengi sana...
Naomba kuuliza kwa uzoefu wa mazingira yetu ya tz...ni gari ya aina gani unamshauri mtu anunue, ndogo...ya matumizi ya kawaida ya familia...inayodumu na inayotumia mafuta ya wastani...ambayo mtu anawezasafiri nayo maeneo yenye barabara mbovu?