Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Naona Mercedes benz g class ni nzuri kuliko hayo magari mlioyataja juu
 
Wataalam wa hapa ndani heshima kwenu, nina swali naomba ufafanuzi kwa wataalamu, kuna kitu wanaita stop enjini sina hakika kama ndio jina la kitaalamu lakini ni kitengo ambacho dereva anapunguza mwendo kwa kutumia hicho kidude bila kukanyaga break hii kitu nimeiona kwenye FUSO, TOYOTA COSTA, na nyinginezo. sasa swali langu ni kuwa mfumo huu unafanyaje kazi hadi kufikia kupunguza speed ya gari? nadhani nimeeleweka
 
nashukuru kwa uzi huu mzuri, nimenunua mark 2 grande gx 110. electromultivision yake imeandikwa kichina tu, pia nimeshindwa kutumia cd japo inaonyesha kuwa inasoma lakini sauti haitoi. pia kuna dvd ambayo nayo imenishinda kutumia. naombeni msaada tafadhali
 

Sio kichina ni kijapan wapo mafundi wa hizo mambo jaribu kuwatafuta
 
Mimi huwa sizipendi kabisa radio zinzokuja na magari huwa nabadilisha faster.

Ukizipata ambazo hazina software ni rahisi hata kuzitune upya lakini kuna hizi zenye software na server yenye GB zisizopungua 30 Halafu zina kitufye cha autorecord na Bluetooth ni mbaya sana usipozijulia
 
Badilisha na kati ya Hizi mkuu
 

Attachments

  • 1443118947875.jpg
    21.4 KB · Views: 284
  • 1443118976407.jpg
    19.5 KB · Views: 286
jamani naomba kujua kati ya 1 G kavu na vvti kwa mark ii ipi inanguvu zaidi?
 
mwanzo nılikua natumia gx 100 mark ii yenye engine ya vvti ulaji wake ulikua si mchezo..lkn sasa nna gx 90 yenye 1g kavu na inakula vzur..mi nadhan vvti inakula zaidi
 
mwanzo nılikua natumia gx 100 mark ii yenye engine ya vvti ulaji wake ulikua si mchezo..lkn sasa nna gx 90 yenye 1g kavu na inakula vzur..mi nadhan vvti inakula zaidi

Hapana kuna Shida mahali lakini pia uendeshaji wa mjini waweza kuwa sababu, gari kila ikitaka kuchanganya inasimama kwa sababu ya foleni zetu, hapo kweli wese litakuwa kama unaendesha V6
 
mwanzo nılikua natumia gx 100 mark ii yenye engine ya vvti ulaji wake ulikua si mchezo..lkn sasa nna gx 90 yenye 1g kavu na inakula vzur..mi nadhan vvti inakula zaidi

Hapana chief. Hiyo iliyokuwa inakula zaidi huenda ilikuwa na hitilafu..hiyonya vvti ni IG FE vvti.
 
Hapana kuna Shida mahali lakini pia uendeshaji wa mjini waweza kuwa sababu, gari kila ikitaka kuchanganya inasimama kwa sababu ya foleni zetu, hapo kweli wese litakuwa kama unaendesha V6

labda inawezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…