Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Okay Mshana
Na hii kwa magari aya ya manual transmission. Ivi vitendo vya kupga free na yenyewe ni kuua gear box

Huui gearbox kwakuwa inakuwa kwenye dormant mode haifanyi kazi yoyote, kinachoumiza gearbox ni ile kuhama hama kutoka D kwenda N and vice versa randomly
 
Kwa hiyo unashauri vip? Kama unaenda Safari ya mbali kutupia Neutral sio mbaya mkuu
 
Kak Mshana jr..nipe uzoefu wako kwa toyota ist..hasa ni zipi changamoto zake ukilimiliki?
 
Kwa mtaalam, naomba anipe ubora na mapungufu ya gari aina ya Volkwagen Touran 1980cc na 1560cc, je ziko poa na pia kuhusu spea za madukan na used zinapatikana shaurimoyo,na je mafundi wapo mtaani. Tafadhali mwenye ujuz anipe info,nitashukuru sana
 
Hizo pia ni hivyo hivyo ila kuna zenye engine kubwa hivyo fuel consumption iko juu kiasi

Poapoa..sasa ilo ntalitambua kwa cc za engine au?maana nyingine utakuta cc ndogo lakini gar inakunywa mafuta..
 
Wadau wa magari nauliza sawali! Nina gari gx 100. Kuna cku tulikua tunafukuzana kwenye high way na jamaa mmoja. Bahati mbaya nikaigonga gear lever ikatoka kwenye D mpaka R straight! Cha ajabu gari ili behave kama ipo neutral tu na haikutokea msuguano wowote wa vyuma ndani mpaka nikairudisha tena kwenye D. Swali langu ni kwamba hizi gari za automatic zina speed maalumu kwamba hata gear ikiwa R gari haitaharibika? Kwa sababu ukikosea kwenye speed ndongo gari inashtuka sana na haitaingia kabisa Kwenye R.
 

Mkuu,
Usipende mashindano barabarani. Huwa hayana mwisho mwema. Lakini kama umedhamiria kweli, utafika unakokimbilia...very soon.
 
Karibu Custom Venture ni kampuni inayotengeneza na kuagiza vifaa vya magari ......
Tunakodishaji wa Magari ya mikutano, sherehe na safari mbali za kimasomo na misiba.......
Watengenezaji wa vivuli vya magari na mageti ya kisasa.....
Piga Simu 0712999090/0763999090
instagram Custom Venture
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…