Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Matumizi ya M kwenye na botton za power ect snow pia kwenye stering kwa chini kuna botton ukiweka grar leaver kwenye M zinakua active mean akibonyeza zina toa mlio gari ni Alteza RS200 3s1998 cc
 
gari yangu ni automatic nikibadilisha gear kutoka P kwenda R au D inakuwa inashtuka, kwenye dashboard hamna taa yoyote ya hatari inayowaka, je tatizo itakuwa ni nini?

Nenda kwa Fundi mwambie aangalie Engine mounting kama ziko poa. Nahisi hilo linaweza kuwa tatizo,
 
gari kuwa na RPM kubwa at silence zaidi ya 1.5 , je ni dalili ya tatizo au ni kawaida?

Normally rpm haitakiwi kuzidi 1000, inatakiwa iwe chini ya hapo. Though mi kila siku asubuhi nikiwasha rpm inasoma 1200-1300 lakini baada ya kupata moto engine rpm inashuka hadi 800.
 

Mkuu LEGE nielekeze wapi pa kununua hizo vitu??
 
habari wakuu, asante kwa mada hii ni msaada sana kwetu sisi tusio na utaalamu wa magari, naomba kujuzwa kuhusu engine ya toyota caldina new model ambayo ni 4wd uimara wake,consuption ya mafuta spare parts na service na kama zinavumilia njia za vumbi nipo kwenye mchakato wa kuagiza. with regard.
 
Wakuu naombeni msaada! Gari yangu inawasha taa ambayo inafanana na ile ya temperature ila inarangi ya kijani, eti wakuu inaashiria nini.
Hapo hakuna tatizo lolote,inamaanisha ingine ni ya baridi sana unashauliwa uache gari silencer mpaka izimike ndio uondoe gari,,na wala haichukui mda kama gari iko byee
 
wana JF nipendezwa na hii new model ya Escudo. Nataka kujua kwa ambayo wanaitumia. Vipi uimara wake? matumiz ya mafuta. upatikanikaji wa spare? na gharama za spare zake uki compare na toyota
thanks
 
Less cc, less ugumu wa gari (kuepuka uzito), less usalama, less life span ya engine! So gari ya cc 650 ikiwa na kilometa 50,000 unaweza kuta ni sawa na gari ya cc 2700 yenye km 200,000
Hii point ni ya muhimu sana hasa kwa watu wanaodhania kuwa kununua magari ya cc ndogo wameepuka gharama,ukweli ni kuwa hizi gari zenye cc ndogo engine life span yake ni ndogo sana,mfano mzuri ni Toyota Vitz,Toyota Duet nk nyingi zimekufa mapema kabla hata ya kufikisha km 150,000,wakati magari mengi yenye cc kubwa,eg cc 2000 and above kwenye km 150,000 bado zinakuwa vizuri sana.
 
Gari yangu inaonesha kuwa handbreak iko on ilihali haijawekwa ,tatizo laweza kuwa NI nini ?
 
Naomba kujuzwa kuhusu toyota alphard kwa wenye kujua au waliotumia. Naopenda space na comfort ndani ila sijui uimara wa injini na maintenance yake.... Vipuri n.k

Asanteni
Kama utaweza kuimudu harrier V6 basi na alphard utaiweza tu maana engine moja......kwenye accessories zingine alphard ni habari nyingine very comfortable car.
 

1. Ubora / uimara
Mark X ni bora na imara zaidi kuliko gx110 especially kwenye swala la usalama

2. Ukubwa wa engine
Hizi gari zote mbili engine yake kubwa sana ni 2.5L, japo kwa gx110 zipo za chini mpaka cc1990 but kwa mark X ni 2.5L

3. Gharama za service
Hapa naona wote wanaringana tu lazima 60,000 mpaka 80,000 ikutoke pamoja na gharama za fundi. Kama ukianza kununua parts hapo sasa mark X inaweza kwenda mbali maana kama mark x control box yake tu haiwezi fanana bei na ya gx110.

4. Mfumo wa umeme
Mark X inatumia umeme mwingi coz ni gari ya kisasa hata hivyo, wazungu wamejitahidi kupunguza consumption ya mafuta kwakuongeza matumizi ya umeme.

5. mengineyo
Kwenye barabara za vumbi hizi zote mbili zinafaa coz zinatumia wishbone mbele na nyuma inamaana hata kuhama njia hilo halipo, japo mark x itakua stable zaidi kutokana na kuwa nzito zaidi maana gx110 inakua na kg1350 mpaka kg1450, hila mark X inacheza kg1525 nyingi.

Na pia mark x imewezeshwa Traction Control hii inafanya gari inakua stable zaidi hata kwenye corner za iyovu unalala tu bila gari kuyumba.

My take:
Mark X inatosha
 
Safi kabisa. Kumalizia Mark X ni ghali zaidi kuliko Gx 110 kutokana na sababu zote hizo hapo
 
Gari yangu inaonesha kuwa handbreak iko on ilihali haijawekwa ,tatizo laweza kuwa NI nini ?
Ni gari ya aina gani?? inawasha taa ya hand brake peke yake?? au inawasha pamoja na taa ya ABS?? Kama zitakuwa zinawaka zote 2 basi kunatatizo au kama ni ist au gari yenye mfumo wa ABS basi control ya ABS itakuwa na shida kuna errors kidogo
 
Ni gari ya aina gani?? inawasha taa ya hand brake peke yake?? au inawasha pamoja na taa ya ABS?? Kama zitakuwa zinawaka zote 2 basi kunatatizo au kama ni ist au gari yenye mfumo wa ABS basi control ya ABS itakuwa na shida kuna errors kidogo
ahsante kiongozi, ni noah aina ya voxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…