Thanks mkuu ...Break fluid iko chini
Aksante sana nimejifunza jambo hapo, nilitaka kukurupuka nitafute kigari chenye CC 650 kisa mafuta kumbe ingekula kwanguHii point ni ya muhimu sana hasa kwa watu wanaodhania kuwa kununua magari ya cc ndogo wameepuka gharama,ukweli ni kuwa hizi gari zenye cc ndogo engine life span yake ni ndogo sana,mfano mzuri ni Toyota Vitz,Toyota Duet nk nyingi zimekufa mapema kabla hata ya kufikisha km 150,000,wakati magari mengi yenye cc kubwa,eg cc 2000 and above kwenye km 150,000 bado zinakuwa vizuri sana.
Chukua kitu, mm nina V6 yake powa sana fully Ac na sijawahi juta. Spare zipo ila c sanawana JF nipendezwa na hii new model ya Escudo. Nataka kujua kwa ambayo wanaitumia. Vipi uimara wake? matumiz ya mafuta. upatikanikaji wa spare? na gharama za spare zake uki compare na toyota
thanks
Chukua kitu, mm nina V6 yake powa sana fully Ac na sijawahi juta. Spare zipo ila c sanawana JF nipendezwa na hii new model ya Escudo. Nataka kujua kwa ambayo wanaitumia. Vipi uimara wake? matumiz ya mafuta. upatikanikaji wa spare? na gharama za spare zake uki compare na toyota
thanks
Chukua kitu, mm nina V6 yake powa sana fully Ac na sijawahi juta. Spare zipo ila c sana
Wala husijisumbue we ingia ebay andika spare unayotaka na aina ya gari or model then ikija pale angalia kama seller can ship to Tanzania.....baada ya hapo buy it.Wapendwa habari za usiku kuna siku nilileta swali hapa jinsi ya kubadili plug kwenye ford escape yangu..nilifanikiwa kufanya hilo zoezi sasa hivi majuz nimeunguza head gascate..nimepeleka gari cmc arusha lakin mpaka sasa hawajapata spare..naomba kuuliza pakupata spare hii..ni ford escape limited V6 2005.natanguliza shukrani.
Ushauri mzuri sana mkuu, lkn hawa DHL na companies nyingine za shipping hua wana charge vifurushi kulingana na uzito wa mzigo. swali langu, kwa uzito wa spea jamaa si watakua wana charge pesa nyingi sana mkuuWala husijisumbue we ingia ebay andika spare unayotaka na aina ya gari or model then ikija pale angalia kama seller can ship to Tanzania.....baada ya hapo buy it.
Mimi ninayo ford exploler eddie Bauer V8 hila sipati shida ya spare. Lakini make sure card yako ya bank imewezeshwa kufanya manunuzi online, na pia huwe na account ebay na sehemu kama PayPal pia.....ukiagiza spare mara nyingi ni siku kama 7 - 10.
Ukishindwa basi nenda pale tabata matumbi kwa yule mama anayeuza vifaa vya mazda na ford
mkuu mshana naomba kufahamu kuhusu hizi caldina new model, je ni full time 4wd(zenye 4wd),na vip kuhusu uimara wake and maintenance.Bado ni gari mpya hazijakaa sana Tanzania na zinamilikiwa na wachache, ambao kati yao wamezisifia lakini fuel consumption iko juu
Mie niliagiza rejeta na oil cooler walinicharge $80 kwa usafiri na kodi yake, na bidhaa zote mbili walinichaji $250.....DHL au FEDEX wote wazuri hao mzigo unafika kwa wakati na unapewa tracking codesUshauri mzuri sana mkuu, lkn hawa DHL na companies nyingine za shipping hua wana charge vifurushi kulingana na uzito wa mzigo. swali langu, kwa uzito wa spea jamaa si watakua wana charge pesa nyingi sana mkuu
Tulikuwa nayo moja mwaka jana ila jamaa akafika bei faster ni mtu wa kahama mpaka leo hajutii Kama umeipenda chukua tumkuu mshana naomba kufahamu kuhusu hizi caldina new model, je ni full time 4wd(zenye 4wd),na vip kuhusu uimara wake and maintenance.
Duh sijawah peleka kwa fundi so far, lkn hizi gari zinapendwa sana. Naziona nyingi nyingi tu za namba D... Unajua zamani zilikua ni DFP na STJ na wahindi kdg ndio waliweza kununua. Ila ushuru wake kaka jipange, andaa 10m ya TRAasante mkuu.. na mafundi wapo wengi wa suziki?
Mie niliagiza rejeta na oil cooler walinicharge $80 kwa usafiri na kodi yake, na bidhaa zote mbili walinichaji $250.....DHL au FEDEX wote wazuri hao mzigo unafika kwa wakati na unapewa tracking codes
Kuna gari mpaka USD 50 na ziko vizuri tu shida ni usafiri na kodi zetu unaweza kujikuta unatumia si chini ya ten million kwa gari ulilonunua laki moja
Hiyo bei ni CIF........?........
Subaru ni gari nzuri ila spare parts ziko juu kidogo , ichukue zingazia kanuni za kumiliki gari hutojutaMafundi kuna kagari nataka kukanunua ni Subaru GT 4 cylinder ndio nlivyoambiwa na muuzaji, hivyo ningependa kujua weakness and strength ya gari hii wakuu.
Subaru sawa na Nissan tu hakuna spare fake kama toyota zetu.....lakini ni gari nzuri na zinadumu sana na spea zinapatikana, jipange tu kwenye bei ya speaMafundi kuna kagari nataka kukanunua ni Subaru GT 4 cylinder ndio nlivyoambiwa na muuzaji, hivyo ningependa kujua weakness and strength ya gari hii wakuu.
Subaru ni gari nzuri ila spare parts ziko juu kidogo , ichukue zingazia kanuni za kumiliki gari hutojuta
Subaru sawa na Nissan tu hakuna spare fake kama toyota zetu.....lakini ni gari nzuri na zinadumu sana na spea zinapatikana, jipange tu kwenye bei ya spea