Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Utunzaji wa kawaida na kuzingatia service pia kupunguza mikono yaani madereva kwenye gari lako lakini pia kuna watu majuha mno eti anazima AC kufidia mafuta, huku ni kuchakaza gari kwa upumbavu au ubahili usio na tija
Lakini pia zingazia genuine kwenye chochote kuanzia lubricants mpaka parts ,mwendo wa tahadhari kwenye barabara mbaya nknk
Nahavome ambiere...
Nimekusoma vizuri sana...
 
Mafundi hebu nisaidieni hapa......mteja wangu kaja garage na gari inapigwa kelele mbele......katika kuikagua.....nikakuta bush kubwa ya wishbone inakufa........(bado haijafa sawasawa)......sasa tunataka tufunge mpya........wapi naweza pata hiyo bush yenyewe bila kununua wishbone nzima............?......gari ni Rav4 ZCA26.........

Cc Mshana Jr.......@LEGE.......@kaizer........@OLESAIDIMU........@MANI......@RRONDO........
Japo sijahusika kwenye "cc" hila naweza kushauri uende gerezani, au temeke wanapouza used, ukishindwa basi rudi tandale wanapochinja magari uende na sample kuna 85% yakupata.
 
Wakuu naomba kujua zaidi kuhusu engine oil na gear box oil katika haya
1. Zipi ni synthetic na Zipi ni natural
2. Katika hizo aina ni magari yapi hutumia synthetic au natural
3. Utatambuaje oil sahihi kwa gari yako
4. Katika kubadilisha oil ya engine na gearbox zile km 3000 ni recommended toka kiwandani au ni mazoea turn
5. Oil Zipi ni best kwa gari ndogo kuanzia cc2000 na kushuka chini
Kwanza mkuu aina ya oil ya gari yako mara nyingi huandikwa kwenye mfuniko wa sehemu unapowekea engine oil. Kama sio hapo basi kwenye manual ya gari yako. Na hizo oil huwa zinaenda kwa namba, na kuhusu kilometers 3000 sio lazima maana kuna oil zingine ni high mileage mpaka km 15,000 kwahiyo utaandikiwa kwenye kopo la oil. Na oil nzuri kwa gari kuanzia cc2000 tumia hizi hizi za low mileage km 3000 mpaka 5000 coz engine ndogo kuipa oil yenye mzunguko mrefu haipendezi sana, lakini kwa wenye cc3500 kwenda juu hao wanatumia vizuri coz engine zao kubwa.

Kuhusu oil nzuri zipo nyingi sana hila kwa mie huwa napenda sana za Total, BP au engen
 
Utunzaji wa kawaida na kuzingatia service pia kupunguza mikono yaani madereva kwenye gari lako lakini pia kuna watu majuha mno eti anazima AC kufidia mafuta, huku ni kuchakaza gari kwa upumbavu au ubahili usio na tija
Lakini pia zingazia genuine kwenye chochote kuanzia lubricants mpaka parts ,mwendo wa tahadhari kwenye barabara mbaya nknk
Inashangaza sana, mtu kanunua gari cc1890 alafu bado anaogopa fuel consumption kwa kuweka ac..nadhani mtu wa hivyo anafoji kumiliki gari
 
Inashangaza sana, mtu kanunua gari cc1890 alafu bado anaogopa fuel consumption kwa kuweka ac..nadhani mtu wa hivyo anafoji kumiliki gari


Kwakweli vumbi ni baya sana kwa gari na kuosha nako ni sehem ya service tusisahau kuosha magari.
 
Inashangaza sana, mtu kanunua gari cc1890 alafu bado anaogopa fuel consumption kwa kuweka ac..nadhani mtu wa hivyo anafoji kumiliki gari
Kuna article nshasoma na ikawa proven kuwa ukitumia gari huku umefungua vioo consumption inaongezeka coz gari ikiwa inaenda mbele upepo ukiingia ndani inabidi gari itumie nguvu zaidi kukinzana na upepo.
 
Kwanza mkuu aina ya oil ya gari yako mara nyingi huandikwa kwenye mfuniko wa sehemu unapowekea engine oil. Kama sio hapo basi kwenye manual ya gari yako. Na hizo oil huwa zinaenda kwa namba, na kuhusu kilometers 3000 sio lazima maana kuna oil zingine ni high mileage mpaka km 15,000 kwahiyo utaandikiwa kwenye kopo la oil. Na oil nzuri kwa gari kuanzia cc2000 tumia hizi hizi za low mileage km 3000 mpaka 5000 coz engine ndogo kuipa oil yenye mzunguko mrefu haipendezi sana, lakini kwa wenye cc3500 kwenda juu hao wanatumia vizuri coz engine zao kubwa.

Kuhusu oil nzuri zipo nyingi sana hila kwa mie huwa napenda sana za Total, BP au engen

Ahsante sana mkuu
 
Inashangaza sana, mtu kanunua gari cc1890 alafu bado anaogopa fuel consumption kwa kuweka ac..nadhani mtu wa hivyo anafoji kumiliki gari

Tunatakiwa tupate hayo mawazo tukiwa kwenye Tundra eeeeh......cc 5660 na ni petrol......
 
Nataka kununua Lexus is200 kwa mil7.8 kwa jamaa yangu yupo Z'bar, ila sijajua ita-cost Tsh ngapi mpk kufika Mwanza, yaani nauliza kama kuna process zozote ambazo zinaweza kunifanya kutoa hela zaidi ya bei niliyonunulia?
 
Sentence ya mwisho ndio jibu sahihi


Naomba kufahamishwa juu ya engine ya gari aina ya 1AZ. Uzuri wake, ubaya wake na ulaji wake mafuta. Na upatikanaji wa spea. Nimeagiza Nadia nimeangalia engine nakuta ni 1AZ nimezoea kuona engine za 3S plz help kabla sijaingia mkenge though nimeshapata offer yao na profoma invoice.
 
Habari mika wana jamvi,
Mimi naomba ufahamu kuhusu gari langu aina ya Kia sportage.... Inanisumbua inawaka lakini haichanganyi mafuta... Nimebadili plugs... Air flow na fuel injection zote lakini tatizo bado liko palepale na inatoa harufu kali ya mafuta yasioungua vizuri kwenye exhaust. Pls mwenye uzoefu na gari hizi anisaidie
 
Nataka kununua Lexus is200 kwa mil7.8 kwa jamaa yangu yupo Z'bar, ila sijajua ita-cost Tsh ngapi mpk kufika Mwanza, yaani nauliza kama kuna process zozote ambazo zinaweza kunifanya kutoa hela zaidi ya bei niliyonunulia?
Lazima kuna cost ulipe ukitaka ivae namba za njano.....njoja watalaamu wa ushuru waje hapa
 
Back
Top Bottom