Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Si kweli, tofauti ya ulaji wa 4 cylinder vs V6 is almost negligible! Ukiangalia specs (ingia kwenye web za magari), tofauti si kubwa sana moja 9.6km/L kwa cc 1990 wkt hiyo ya v6 unakuta ni 8.5km/L kwa cc2500tofauti ya mita 1,100. Mi naona km mtu anaogopa kuendesha gari atembee kwa mguu tu.kwa nyongeza ya jibu la mshana jr, gari hivo ina piston 6, engine V6 (1MZ-FE) pamoja na 4WD nyepesi.
Cha msingi usiwe na mafuta ya mawazo manake utapata presha.
Mkuu kuna button nyekundu upande kwa mbele gear liver inapoishia ila kazi yake siijui, nikiweza kuweka picha nitakuwekea
Kushift Gearleaver Kama gari imezimika kwa sababu zozote zile na unataka kuisukuma au kuivuta ili gearleaver ikae kwenye neutral (free gear)Wakuu hii button nyekundu inanichanganya cjui kaz yake ni nini, naomba msaada!
Jipinde upate engine nyingineWakuu nina Toyota Hilux double cabin SRX ya mwaka 1995 ina engine ya 3L diesel. Gari ilikua imepunguza nguvu sana ukizingatia nimekua nikifanya service bila kupitiliza. Nimepelela kwa fundi wangu kasema inatakiwa kufanyiwa overhaul..swali langu ni kwamba nifanye overhaul au ninunue Engine nyingine?..mana nimesikia overhaul hua haisaidii sana kuboresha engine ya diesel. Nitafurahi kupata mawazo yenu wana jamvi
-Nyekundu inaashiria hatari, hivyo unapaswa kuchukua hatua haraka
-orange/njano inaashiria tahadhari(warning) hivyo jiandae kuchukua hatua
-blue/kijani? Inaashiria mambo poa! Japo kwenye dashboard mara nyingi hapatakiwi kuwaka taa yeyote baada ya kuwasha gari, sana sana ni P kwa hizi automatic, na D wakati ukiwa kwenye mwendo na kama ni mchana
Ukwaju heri ya mwaka mpya Asante kwa hili, wengi watajifunza hapaMkuu Mshana na mm naomba ni-Add No 0718-441xxx
Mshana na hii niimeikuta huko kwa Member wa Dreva Makini naona inweza saidia hasa sisi tunaopenda kununua matairi ya vijiweni kwa ajili ya safari ndefu
UFAHAMU KWA WENYE MAGARI;
Matairi ya gari muda wake rasmi wa matumizi ni miaka minne (4) tu toka yatengenezwe (sio toka uyafunge kwenye gari yako).
Ikishapita miaka minne toka tairi litengenezwe linaweza kupasuka wakati wowote. Jinsi ya kutambua tairi lilitengenezwa lini tafuta alama kwenye tairi iliyoandikwa kwa mfumo huu (*2603*) kuna kuwa na alama ya nyota mwanzo na mwisho wa hizo namba nne.
Namba mbili za kwanza zinaonyesha tairi lilitengenezwa wiki ya ngapi katika wiki 52 za mwaka na namba mbili za mwisho zinaonyesha mwaka tairi lilipo tengenezwa. kwa mfano *2603* inamaanisha tairi lilitengenezwa wiki ya 26 ya mwaka 2003 au *2699* inamaanisha tairi lilitengenezwa wiki ya 26 ya mwaka 1999.
KAGUA MATAIRI YAKO USITUMIE TAIRI LILILO PITA ZAIDI YA MIAKA MINNE KWANI LINAWEZA PASUKA WAKATI WOWOTE.
Pia kila tairi limeandikwa uwezo wa spidi yake ukikimbiza zaidi ya uwezo wake itapasuka na hizo spidi zimeandikwa kwa herufi kama ifuatavyo
CODE SPIDI
F=============80
G=============90
J==============100
K==============110
L==============120
M==============130
N==============140
P==============150
Q==============160
R==============170
S==============180
T==============190
H==============200
Huandikwa hivi
280/R/70/13/150/S
Ok nimeku-PM in BoxUkwaju heri ya mwaka mpya Asante kwa hili, wengi watajifunza hapa