Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali


Mkuu Ukwaju,
Kwa nini siyo VOXY..? Plz niweke sawa vile mie nataka kuvuta hiyo kitu.. Thanx
 
Mkuu Ukwaju,
Kwa nini siyo VOXY..? Plz niweke sawa vile mie nataka kuvuta hiyo kitu.. Thanx
Mwaka 2012 nlinunua voxy T ... CEK nikaitumia mpk 2014 nikauza. Ilikua poa tu kwa matumiz ya home-town! Nijuavyo Noah Ace zenye diff ni bora sana kulinganisha na dizain km hiyo ya magari
 
Habari wakuu, mi nauliza je hapa Tanzania upatikanaji wa vipuri vya Toyota Delta ukoje?
 
Hiyo engine inaitwa D4 sometimes......ki ukweli wengi tunazikimbia ....sio mbaya ukipata Fundi mzuri incase of emergency.......lakini nakushauri chukua 3S......hiyo engine imeshajadiliwa sana humu ndani tena uzi huu huu.......


Uwiiiiiiiii....kurasa ni nyingi mno kusoma, shida yake ni nini hasa??
 
Wakuu radio ya gari module frequency zake ni kati ya 76.6mHz na 89.9 MHz, hivi kuna uwezekano Wa kuongeza maana kuna redio stations nyingi sizipati na ningependa niwe na wide range.
 
Wakuu radio ya gari module frequency zake ni kati ya 76.6mHz na 89.9 MHz, hivi kuna uwezekano Wa kuongeza maana kuna redio stations nyingi sizipati na ningependa niwe na wide range.

Hapo hakuna addition ya frequency cha msingi badilisha redio ziko dukani kama Sony zinamaliza frequency
 
Wakuu radio ya gari module frequency zake ni kati ya 76.6mHz na 89.9 MHz, hivi kuna uwezekano Wa kuongeza maana kuna redio stations nyingi sizipati na ningependa niwe na wide range.
Kuna kitu kinaitwa frequency converter wakikufungia burdan mitaa ya ilala huko
 
Overhaul haina guarantee hasa kwa spare zetu za bongo
Sio kweli mkuu sema labda ufundi ndio tatizo.ukifunga spare original na kwa uhakika gari inakuwa kama mpyaaa.

Uwoga na ubovu wa mafundi now ndio wanakimbilia kununua engine used
 
Wakuu radio ya gari module frequency zake ni kati ya 76.6mHz na 89.9 MHz, hivi kuna uwezekano Wa kuongeza maana kuna redio stations nyingi sizipati na ningependa niwe na wide range.

Inawezekana kuongeza mkuu kwani upo wapi ww?? kuna kitu unafunga hapo mambo yanakuwa powa kinaongeza station nyingine
 
Inawezekana kuongeza mkuu kwani upo wapi ww?? kuna kitu unafunga hapo mambo yanakuwa powa kinaongeza station nyingine
Nipo dar mkuu. Wapi nakipata hicho kifaa?? Gharama yake??
 
Sio kweli mkuu sema labda ufundi ndio tatizo.ukifunga spare original na kwa uhakika gari inakuwa kama mpyaaa.

Uwoga na ubovu wa mafundi now ndio wanakimbilia kununua engine used
Nilikuwa na maana hiyo hiyo ya spare
 

Ndiyo maana nimejiunga na "Wanajamii" kwa ajili ya kupata elimu kama hii toka kwa akina Mshana jr. Ahsante sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…