nickvalerion2810
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 112
- 36
Over drive inaanzia speed 80, hivyo ni vema ukaicha On O/D always..Naitwa, ELLY BASHIRI
shukrani kwa utaalamu na ujuzi wenu wanajamvi wa JF hususani ktk taaluma ya magari. Binafsi naomba ufafanuzi kidogo na ushauri kwenu. (1) Je ni vyema kuwa unaitumia O/D OFF per 80 speed above or O/D ON as usually kwenye safari ndefu..? eg; Mwanza to Dar (1,500 km).
(2). Je, na kama utatumia O/D OFF katika safari ndefu, (Mwanza to Dar ) consumption ya mafuta itaongezeka zaidi kutoka ktk normal consumption...?
Please, Ndugu MSHANA JR na waungwana wengine wenye taaluma hii naomba msaada wa Elimu hapa.
Aina ya Gari ni CRESTA GX-100, engine type ni VVT-i.
Kwa uzoefu wangu kama unasafiri safari ndefu ni vizur over drive kuwa On hii itakusaidia gari kukimbia zaidi kwani ikiwa Off halaf unasafir safari ndefu utaichosha injini kwani itakuwa inadai gear nyingne wakati gearbox haijapewa nafasi ya kubadili, pia hiyo itachangia gari kutumia mafuta mengi lakn ikiwa On itarahisisha gari kukimbia zaidi na kubadili. Kumbuka unashauriwa kabla ya kuo-overtake gari unatakiwa kuiweka Off ili kuipa gari nguvu zaidi.Okay, shukrani kiongozi kwa ushauri na ufafanuzi @ Mshana Jr.
Lakini naomba ni rudi tena kwako kiongozi MSHANA JR,
Niumeuliza hivyo kwasababu jana nilipanda gari moja aina ya Toyota PASSO nilikuwa natokea Mwanza kuja Shinyanga umbali ni Km 165, dereva alikuwa anatumia sana O/D OFF kila alipo fikia speed 80 na gari inakuwa nyepesi sana, nami nikafanya utafiti kidogo na kujiuliza maswali mengi kwa nini anaitumia sana O/D OFF, kwasababu ktk gari yangu sijawahi kutumia O/D OFF hata kama natoka Mwanza nakuja Dar.
Sasa kiongozi MSHANA jr, jamaa alivyokuwa anatumia hiyo O/D OFF muda mwingi je hakuna madhara yeyote yangeweza kutokea au kuna problem effect gani ya Technical utaipata kama utakapo tumia O/D OFF kwa muda mrefu.....?
Please ndugu Mashana jr na wengine Elimu tena kidogo.
Wengi hatuelewi hizi gari za automatic. hupaswi kuhangaika na O/D, wengi wanafanya shifting kufidia mafuta lakini haina maana yoyoteOkay, shukrani kiongozi kwa ushauri na ufafanuzi @ Mshana Jr.
Lakini naomba ni rudi tena kwako kiongozi MSHANA JR,
Niumeuliza hivyo kwasababu jana nilipanda gari moja aina ya Toyota PASSO nilikuwa natokea Mwanza kuja Shinyanga umbali ni Km 165, dereva alikuwa anatumia sana O/D OFF kila alipo fikia speed 80 na gari inakuwa nyepesi sana, nami nikafanya utafiti kidogo na kujiuliza maswali mengi kwa nini anaitumia sana O/D OFF, kwasababu ktk gari yangu sijawahi kutumia O/D OFF hata kama natoka Mwanza nakuja Dar.
Sasa kiongozi MSHANA jr, jamaa alivyokuwa anatumia hiyo O/D OFF muda mwingi je hakuna madhara yeyote yangeweza kutokea au kuna problem effect gani ya Technical utaipata kama utakapo tumia O/D OFF kwa muda mrefu.....?
Please ndugu Mashana jr na wengine Elimu tena kidogo.
Size ya rim ni 17 pia ni alloy.Inategemea na size ya rim na kama ni chuma au alloy, hebu angalia za awali zilikuwa size gani
Vimimika/coolant vimetiwa dawa na kuondolewa chemicals zinazoweza kuwa na madhara kwenye mfumo wa kupoza engine wakati maji ya kawaida hayajatibiwaNina swali kwenye kutumia kimiminika as coolant kwenye gari, wengine hutumia maji wengine hutumia kimiminika vinavyo uzwa madukani zenye rangi mbalimbali kama green, pink ili kupoza na kuzuia engine kupata kuta,
Swali ni je kipi ni kipi kati ya maji ama hivyo vimiminika vingine ushauri plzzz
Ni sauti mbaya ambayo huwa inatoka kwenye injini na husababishwa na injini kushindwa kuchoma dizeli vizuri inayomwagwa kwenye chemba. Hii husababishwa na nozeli kumwaga mafuta mengi au kuwa imestiki hivyo kusababisha injini kutoa mlio mbaya na pia hupelekea gari kula sana mafuta na kutoa moshi mwingi.Wataalam wa Diesel Engine...,naomba kuuliza Diesel Nok ni nini..?
Asante mkuu.,Hapo nn kifanyike @ ItagataNi sauti mbaya ambayo huwa inatoka kwenye injini na husababishwa na injini kushindwa kuchoma dizeli vizuri inayomwagwa kwenye chemba. Hii husababishwa na nozeli kumwaga mafuta mengi au kuwa imestiki hivyo kusababisha injini kutoa mlio mbaya na pia hupelekea gari kula sana mafuta na kutoa moshi mwingi.
Hapo tafuta mafundi nozeli wazipime, watakushauri kama ni kuzibadili au watazirekebisha tu.Asante mkuu.,Hapo nn kifanyike @ Itagata