Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wana JF naomba msaada,gari yangu aina ya SUZUKI KEI imepata tatizo ambapo nikikanyaga mafuta mpaka mwisho gari haiondoki kabisa,ingine inavuma tu na nilipomwita fundi kurekebisha akatoa filter ya transmission(kwenye sump) na kuisafisha ikakubali kutembea kwa muda ila bado tatizo linajitokeza ambapo engine inakosa nguvu kabisa baada ya kipindi kifupi.Msaada wenu please
 
wakuu, hiace super custom 1kz-te engine, inatumika kama daladala. inalamba wese lita 1 kwa 7km afu inatoa moshi mwingi. nozzle nishabadili lakin bado tatizo lipo
Fanya overhaul tu hakuna namna
 
Nalala nimesoma thread ya 1 mpaka 40 na huku nimenote pembeni vitu muhimu sanaaa nategemeaa kufkaa jpili nitakuwa nimesoma thread zote 252
 
Yani Ndomana Naipenda sana JF Mimi naomba kujua Mwenye uzoefu wa Gari Aina ya TOYOTA WISH Gari yangu nikiendesha Speed 80 halafu Ghafla nikapunguza Speed ikafika kwenye 40 Speed Hapo Hapo inakuwa kama inataka kuzima Nimeona niulize kabla Sijaenda kwa Fundi labda tatizo Mnaweza lijua nikaliwa bule pesa na Fundi Asanteni Wakuu Najua Ntapata jibu...
 

Hiyo OD huwa ni kwa gari gani? Hua naskia tu ila sijaishuhudia kwa suzuki escudo 2006
 
Heshima kwenu wataalam, gari yangu taa ya cheki engine inawaka na kuzima, ikiwaka naweza tembea hata km 600 ndio ikawaka tena. tatizo linaweza kuwa nini?
 
Heshima kwenu wataalam, gari yangu taa ya cheki engine inawaka na kuzima, ikiwaka naweza tembea hata km 600 ndio ikawaka tena. tatizo linaweza kuwa nini?
Most likely itakuwa ni alert ya timing belt inakaribia kwisha matumizi yake
 
Kwa ushauri wangu fanya diagnosis
 
Naomba kujua sifa za gari aina ya Toyota kluger kwa wenye uzoefu na hizo gari, pia upatikanaji wa spare zake hapa Tanzania, asanteni
 
Naomba kujua sifa za gari aina ya Toyota kluger kwa wenye uzoefu na hizo gari, pia upatikanaji wa spare zake hapa Tanzania, asanteni
Ziko vizuri sana hasa Klugger V na four
 
Naomba kufahamu Toyota Verosa kuhusu ubora, namna ya matumizi ya mafuta nk
 
Nashukuru watu hawa na wengne
Preta
Mshana jr
LEGE
N'yadikwa
RRONDO
Kaizer
OLESAI

Na wengne wote nimepitia thread zote kuanziaa tareh 18 dec leo ndio nimemaliza kusoma zote kwa elimu niliyoipata hapaa nimepata vitu hata veta ningekosa kabsa nashukuru mambo muhimu nimenote pemben na nitayaifadhi zaidi ila natarajiaa mwezi wa tatu mwishon nitafute noah ya kama 8 mpaka 9 milion ambayo katumia mtu binafsi au hata ya kuagza niwe napgia dili kwa abiri kupata kidogo kidogo nitakuwa naendesha mwenyewe hicho ndio kimenifanya nipitie uzi mzimaa. Huu mm biashara zangu ni bodaboda niwapata vijana na kuniletea mahesabu ila kwa kuwa pkpk mbili ni za mkataba na mkataba unaisha mwezi wa nne ndio nataka kubadili biashara nifanye mwenyewe kwa siku nikiwa off kazini siku zingne napack tu kwa week kufanya kazi kwa gari inakuwa mara nne
 
Nahitaji spea za toyota hilux surf ya mwaka 1997 bumper ya mbele ngao na taa ya kulia je naweza kuvipata wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…