HesabuKali
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 2,791
- 5,687
Tatizo umezungusha steering kabla ya kuwasha! Ila weka ufungua, ukiwa unazungusha kulia kushoto then washa. Steering imejilockWasalam wataalamu, kwanza nikiri mimi sio mtaalamu wa gari kabisa zaid ya kuwasha na kuendesha tu. Nimepaki gari then nikampa funguo mshikaji, sasa kazungusha stearing baadae kutaka kuwasha gar haiwaki na hata funguo hazizunguki kabisa, yaani ni kama stearing imeji lock.
Naombeni msaada wataalam nini kimesababisha na je niite fundi kabisa?
Ndio alichokifanya hicho.Tatizo umezungusha steering kabla ya kuwasha! Ila weka ufungua, ukiwa unazungusha kulia kushoto then washa. Steering imejilock
Ninayo kaka hutojutia.Nahitaji Noah nzuri
Afanye hivo tena itaachia na kuwakaNdio alichokifanya ndio hicho
Mkuu Mungu akubariki limewaka tayariAfanye hivo tena itaachia na kuwaka
Nahitaji Noah nzuri
Noa Exub bei ofa ikoje.Ofa yako mkuu.na wataka noa ipi. Old or new
Ukiweka switch on au ukiwasha kabisa?View attachment 524915 msaada jmn hivyo vitaa vinamaana gani ukiwasha gari vinatokea
Ukiweka switch on ila gari ikianza kuondoka vinazimaUkiweka switch on au ukiwasha kabisa?
Majina yote humo feki labda IST ndo ipo sahihi.Hayo mengine hayajulikani andika upyawadau nisaidie gari gani nzuri kati ya IST, FANCARGO, VITZS na stalet
Madhara yapo makubwa tuu mkuu.Wakuu habari za humu ndani..
Naombeni kujua kama kuna madhara yeyote kama engine oil itazid yani kuvuka kili kidot cha juu cha kwenye stick
Badili vvt-i switch basi.Hello, nna shida na check engine kwenye gari, inawaka mda wote hata ukiwa umewasha gari,
Mafundi walisema sensor wamebadili lakini bado, naambiwa tupeleke temeke kucheki kwenye computer Elf 50 checking tu! Ni sahii au napigwa?
Wenye ujuzi tatizo la check engine kuwaka hutokana na nini?
Gari ni Vits ya 1999
Badili cylinder head......imekufaMsaada wenu gari timing belt ilikatika nikaivuta mpaka mjini sasa nimebadili hiyo timing belt gari imewaka ina misi ya hatari kabisa sasa hawa mafundi wananiambia itakuwa imeharibu vitu vingi sana kwenye engine maana ilipo nizimikia nilijaribu kuiwasha sasa fundi anasema ndio nilifanya makosa hapo sasa amenitajia vitu vingi Mimi sio fundi sivijui ghalama yake anasema inafika 500000 na gari ni cresta gx100 vvti
Badili vvt-i switch basi.