Mkuu hizi Alteza zipo zinazotumia Engine ya 3s ya rav4 halafu pia zipo zinazotumia 1JZ nk so hizi s series huwa zina cylinder nne. Mie namshauri achukue yenye cylinder 4 atakua na tofautiya kilomita 2 kwa lita ambayo sio mbaya inaweza ikakutoa porini.
Jamani nataka kuagiza Altezza sasa nataka ya 4c siyo ya 6c nazitofautishaje na je ipi ni nzuri ya 4c au ya 6c maana nasikia ya 6c ni balaa inakata wese vibaya
kiipwi cha ngoghwe sidhani kama zipo Altezza 4S na kama zipo ulaji wake waweza uwe hautofautiani sana na 6S
ANGALIZO:
Unaweza ukawa na gari 6S na ikatumia mafuta vizuri zaidi kuliko mwenye 4S! Hii ni kutokana na uendeshaji, kwa mfano unatoka shekilango kuelekea mjini unajua kabisa ukifika big brother lazima upunguze mwendo lakini mtu anaivuta mpaka spidi 80 halafu akifika big anapunguza mpaka spidi 30 then anavuta tena akifika tiptop anapunguza tena huo ni uharibifu was mafuta, kwa jinsi hiyo utakuwa unapoteza mafuta mengi bila sababu
Vilevile hata safari ndefu ongeza mafuta taratibu na jitahidi kucontrol spidi yani kama una hakika kipande fulani hakina kupunguza mwendo ongeza mwendo taratibu mpaka spidi uitakayo kisha nenda nayo hiyo mpaka utakapotaka kupunguza punguza taratibu pia
Ukiwa mtu wa kupanda na kushuka yani mara umevuta toka spidi 80 mpaka 120 mara ukashuka ghafla mpaka 70 kisha mara ukavuta tena mpaka 120, 30, 40 nk kisha ukashuka ghafla utaisoma
Mwisho uendeshaji wa mjini ni ghali mno kwa mafuta kwakuwa break ni kila dakika
Mkuu ya Cylinder nne kwa Altezza ni Engine ya Honda, ina usumbufu wake. Pamoja na ukubwa wa Engine, inashauriwa ununue 6cylinder kama una mapenz na Altezza, ambapo ulaji wake ni sawa na Verossa. Hiyo ya 4cylinder kutoka moyoni nakushauri usinunue
Mkuu ya Cylinder nne kwa Altezza ni Engine ya Honda, ina usumbufu wake. Pamoja na ukubwa wa Engine, inashauriwa ununue 6cylinder kama una mapenz na Altezza, ambapo ulaji wake ni sawa na Verossa. Hiyo ya 4cylinder kutoka moyoni nakushauri usinunue
Mkoroshokigoli mekumic ujue weweNapata darasa murua,
Mkuu ya Cylinder nne kwa Altezza ni Engine ya Honda, ina usumbufu wake. Pamoja na ukubwa wa Engine, inashauriwa ununue 6cylinder kama una mapenz na Altezza, ambapo ulaji wake ni sawa na Verossa. Hiyo ya 4cylinder kutoka moyoni nakushauri usinunue
kiipwi cha ngoghwe sidhani kama zipo Altezza 4S na kama zipo ulaji wake waweza uwe hautofautiani sana na 6S
ANGALIZO:
Unaweza ukawa na gari 6S na ikatumia mafuta vizuri zaidi kuliko mwenye 4S! Hii ni kutokana na uendeshaji, kwa mfano unatoka shekilango kuelekea mjini unajua kabisa ukifika big brother lazima upunguze mwendo lakini mtu anaivuta mpaka spidi 80 halafu akifika big anapunguza mpaka spidi 30 then anavuta tena akifika tiptop anapunguza tena huo ni uharibifu was mafuta, kwa jinsi hiyo utakuwa unapoteza mafuta mengi bila sababu
Vilevile hata safari ndefu ongeza mafuta taratibu na jitahidi kucontrol spidi yani kama una hakika kipande fulani hakina kupunguza mwendo ongeza mwendo taratibu mpaka spidi uitakayo kisha nenda nayo hiyo mpaka utakapotaka kupunguza punguza taratibu pia
Ukiwa mtu wa kupanda na kushuka yani mara umevuta toka spidi 80 mpaka 120 mara ukashuka ghafla mpaka 70 kisha mara ukavuta tena mpaka 120, 30, 40 nk kisha ukashuka ghafla utaisoma
Mwisho uendeshaji wa mjini ni ghali mno kwa mafuta kwakuwa break ni kila dakika
Mkuu hizi Alteza zipo zinazotumia Engine ya 3s ya rav4 halafu pia zipo zinazotumia 1JZ nk so hizi s series huwa zina cylinder nne. Mie namshauri achukue yenye cylinder 4 atakua na tofautiya kilomita 2 kwa lita ambayo sio mbaya inaweza ikakutoa porini.
Thanks buddy!
naomba kujuzwa huu ya Suzuki escudo manual
uimara wake
aEskudo zile model za mkate nikimaanisha za zamani (1990-96) ni ngumu na zinavumilia shida, ishu kwenye gari ya manual ambayo inaweza kutokea ni kufa clutch au gearbox sababu ya upigaji tofauti tofauti wa gear mkuu.
Gari yoyote manual kila mtu ana swaga lake la upigaji gear thats y.
Mkuu Zanzibar Asp ..mimi ninavyosikia kutoka kwa wataalamu wa magari ..wanasema gari zuri kati ya hizo gari ndogo za juu ulizotaja ni Toyota Cami..ila ununue engine K3 ndio inakula mafuta kidogo sawa na passo.. mm binafsi natumia Toyota Cami ila bado sijaichunguza vizuri maana bado iko ktk hali zuri nilinunua kutoka yard miezi 6 iliyopita..binafsi nimefurahia hizi gari kutokana na kuhimili maeneo ninayoishi .maana barabara ni mbovu na wakati wa mvua inakuwa mbaya zaidi..ila baadaya kununua hii gari ninapita sehemu yoyote bila shida ..hata kwenye vilima mitelezo mm naswagatu kwa kwenda mbele..nakumbuka siku moja nilipitia njia ya vingunguti kutokea Tabata Barakuda..kama unalifahamu eneo lile kukiwa na mvua kunakuwa na matope pamoja na utelezi pia kuna kamlima flani hivi kanasumbua sana..nikakuta Rav 4 new model imekwama na inateleza ikijaribu kupanda kimlina..ila mimi na Cami yangu nilipapita kama mchezo wa kuigiza vile..kwa hiyo hivi vigari vina nguvu na ni imara kiasi flani...Ila Mkuu kama mfuko unarusu nunua new model ya hizi Cami ..yaani Toyota Rush..ni vigari vizuri mno ila bei yake kidogo ina range kwenye M 20 na ushee hivi...kwa Toyota Cami ktk Mayard hapo Dar bei yake ni kati ya M 10 na 12...au Hata mpaka M 15...