Kwa milima na mizigo pata Honda 110Jamani msaada Nina mpango WA kununua japo usafiri wa piki piki aidha Honda xl 125/honda ace x CB 125 nauliza kwa aina za Honda vp Ni nzuri kwa matumizi kwa barabara ngumu Na za milimani???je inafaa kwa mizigo appr 100kg??je spare zake zinapatikana kwa urahisi...hata kwenye nayo kwa biashara karibu...
Zipo fresh kwelii.....appr ah ngapi kW bongo hiiKwa milima na mizigo pata Honda 110
Jr[emoji769]
Lita 5 maximum lakini kuwa makini nyingi fekiHello wakuu...
Naomba kwa mwenye uzoefu na Carina Si anipe uzoefu wake juu ya aina ya coolant inayofaa...nimekuwa nikitumia maji kwa muda sasa...nataka niweke coolant...je zinaingia lita ngapi mpaka kujaa???
Sent using Jamii Forums mobile app
Aksante Mkuu...vp kati ya red na ile nyingine...ipi bora zaidi au zote ni sawa???Lita 5 maximum lakini kuwa makini nyingi feki
Jr[emoji769]
Zile ni rangi tu zisikuzuzueAksante Mkuu...vp kati ya red na ile nyingine...ipi bora zaidi au zote ni sawa???
Sent using Jamii Forums mobile app
inaonekana inawasha moto hatari maxikum speed soo 400 uko baatiNaishia kuiona tu kwenye muvi
Jr[emoji769]
Kwa ushauri wangu Nissan hapana hasa hizo extrail... Ukiikosea kitu kidogo tu umekwisha... Durability pia ya hizi gari sio ya kutegemea sana.Sijawahi tumia brand ya Nissan zaid ya Nissan Patrol ya ofisini ambayo nakuwa abiria tu.
Swali langu wife anataka usafiri lakini kaja na prescription yake anataka Xtrail sijui kumuona nayo nani so naomba ABC zake
Ubora,
Fuel consumption safari ndefu na mizunguko ya mjini ipoje.
Haina magonjwa yanayoisumbua.
Je kwa mwanamke itamfaa.
Au
Je kama kuagiza niandae kiai gani au kama ikipatikana kwa mtu ambayo imetunzwa pia inakuaje ili nijiandae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cylinder 12.. Lakini kwa bongo hii utadrive njia gani walau ufike 200?
Jr[emoji769]
[/QUOTE
Sijawahi tumia brand ya Nissan zaid ya Nissan Patrol ya ofisini ambayo nakuwa abiria tu.
Swali langu wife anataka usafiri lakini kaja na prescription yake anataka Xtrail sijui kumuona nayo nani so naomba ABC zake
Ubora,
Fuel consumption safari ndefu na mizunguko ya mjini ipoje.
Haina magonjwa yanayoisumbua.
Je kwa mwanamke itamfaa.
Au
Je kama kuagiza niandae kiai gani au kama ikipatikana kwa mtu ambayo imetunzwa pia inakuaje ili nijiandae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushukuru sana.Kwa ushauri wangu Nissan hapana hasa hizo extrail... Ukiikosea kitu kidogo tu umekwisha... Durability pia ya hizi gari sio ya kutegemea sana.
Jr[emoji769]