Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Jamani msaada Nina mpango WA kununua japo usafiri wa piki piki aidha Honda xl 125/honda ace x CB 125 nauliza kwa aina za Honda vp Ni nzuri kwa matumizi kwa barabara ngumu Na za milimani???je inafaa kwa mizigo appr 100kg??je spare zake zinapatikana kwa urahisi...hata kwenye nayo kwa biashara karibu...
Kwa milima na mizigo pata Honda 110

Jr[emoji769]
 
Hello wakuu...
Naomba kwa mwenye uzoefu na Carina Si anipe uzoefu wake juu ya aina ya coolant inayofaa...nimekuwa nikitumia maji kwa muda sasa...nataka niweke coolant...je zinaingia lita ngapi mpaka kujaa???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello wakuu...
Naomba kwa mwenye uzoefu na Carina Si anipe uzoefu wake juu ya aina ya coolant inayofaa...nimekuwa nikitumia maji kwa muda sasa...nataka niweke coolant...je zinaingia lita ngapi mpaka kujaa???

Sent using Jamii Forums mobile app
Lita 5 maximum lakini kuwa makini nyingi feki

Jr[emoji769]
 
Sijawahi tumia brand ya Nissan zaid ya Nissan Patrol ya ofisini ambayo nakuwa abiria tu.

Swali langu wife anataka usafiri lakini kaja na prescription yake anataka Xtrail sijui kumuona nayo nani so naomba ABC zake

Ubora,
Fuel consumption safari ndefu na mizunguko ya mjini ipoje.
Haina magonjwa yanayoisumbua.
Je kwa mwanamke itamfaa.

Au
Je kama kuagiza niandae kiai gani au kama ikipatikana kwa mtu ambayo imetunzwa pia inakuaje ili nijiandae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi tumia brand ya Nissan zaid ya Nissan Patrol ya ofisini ambayo nakuwa abiria tu.

Swali langu wife anataka usafiri lakini kaja na prescription yake anataka Xtrail sijui kumuona nayo nani so naomba ABC zake

Ubora,
Fuel consumption safari ndefu na mizunguko ya mjini ipoje.
Haina magonjwa yanayoisumbua.
Je kwa mwanamke itamfaa.

Au
Je kama kuagiza niandae kiai gani au kama ikipatikana kwa mtu ambayo imetunzwa pia inakuaje ili nijiandae.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ushauri wangu Nissan hapana hasa hizo extrail... Ukiikosea kitu kidogo tu umekwisha... Durability pia ya hizi gari sio ya kutegemea sana.

Jr[emoji769]
 
xtrial old model hata nikipewa bure sichukui jichange sana kama huna uwezo wa kununusa xtrial ya kuanzia 2017 achana nayo nadhan ni M70 na piont
Sijawahi tumia brand ya Nissan zaid ya Nissan Patrol ya ofisini ambayo nakuwa abiria tu.

Swali langu wife anataka usafiri lakini kaja na prescription yake anataka Xtrail sijui kumuona nayo nani so naomba ABC zake

Ubora,
Fuel consumption safari ndefu na mizunguko ya mjini ipoje.
Haina magonjwa yanayoisumbua.
Je kwa mwanamke itamfaa.

Au
Je kama kuagiza niandae kiai gani au kama ikipatikana kwa mtu ambayo imetunzwa pia inakuaje ili nijiandae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom