Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #6,101
Kwa milima na mizigo pata Honda 110Jamani msaada Nina mpango WA kununua japo usafiri wa piki piki aidha Honda xl 125/honda ace x CB 125 nauliza kwa aina za Honda vp Ni nzuri kwa matumizi kwa barabara ngumu Na za milimani???je inafaa kwa mizigo appr 100kg??je spare zake zinapatikana kwa urahisi...hata kwenye nayo kwa biashara karibu...
Jr[emoji769]