Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nisingependa kuonekana nakandia aina fulanj ya gari na kuisifu nyingine lakini kama hutajali sana achana nazo upate IST au Duet
Wakuu nataka kununua Paso kwa mizunguko ya mjini tu. Je inafaa? vp uimara wake na ulaji wa mafuta?
Au ni gari ipi ndogo ambayo ni bora zaidi.
Nb. Bei iwe kama ya Paso au ikizidi basi isizidi mil 8.
Paso ni nzuri mkuu injini yake iko bye ila ukipata toleo la kwanza umeula ni imara zaidi upande wa enjini tofauti na Haya matoleo ya sasa yana shida kwenye mfumo wa umeme, kwa m 8 utapata iliyo fresh sana,go mkuu
Nasikia hizi GARI hazimudu safari za DSM Mbeya n kweli?
Labda kwakuwa engine yake ni ndogo kwa maana ya horsepower, vigari vidogo nilivyovipa salute kwa safari ndefu no Duet na IST
Duh mkuu unaisifia Sana IST ngoja nijitahidi niijaribu...
Ila mda mwingine woga tu kuna jamaa kanisimulia alitoka na vits iringa mpaka DSM bila kupumzika na aliyapita mpaka mabasi
Kuna mwananchi anataka kuniuzia NISSAN ELGRAND ya mwaka 2000, nipen ushauri
Sio kweli juzi January nimemsogezea mshkaji wangu Conwell Naweya ya mke wake Songwe border nikaiexperience ni gari imara kabisa ila sisitiza toleo la kwanza hata hapa kesi za passo sio kubwa ukilinganisha na vits au mini nyingine kama ist
Elgrand ni gari nzuri ila huwa usipoifanyia checkup timely Huwaga inapoteza miendo kutokana na tatizo la MAF sensors kuchoka lakini vinginevyo iko bye,sema kama ni mpenzi wa hizi all purpose vans tafuta Noah au voxy zipo nyingi hapa Dar usumbufu wa Nissan ni vipuri hizo sensor zikifaga hapo kko kuzipata sometime inakuwaga issue,ila kama utaichukua karibu kwa matengenezo
Duh mkuu unaisifia Sana IST ngoja nijitahidi niijaribu...
Ila mda mwingine woga tu kuna jamaa kanisimulia alitoka na vits iringa mpaka DSM bila kupumzika na aliyapita mpaka mabasi
Wakuu niko na Brevis nikiwa naendesha nasikia harufu ya petrol ndani ya gari? Nini tatizo?
Wakuu niko na Brevis nikiwa naendesha nasikia harufu ya petrol ndani ya gari? Nini tatizo?