Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Kama unatumia AC inawezekana inaelekea kuisha. Ngoja wataalamu wengine waje

Nafiriki kuna shida kwenye fuel system hasa kama mfuniko wa boya la fuel tank uko chini ya siti ya nyuma na kama ulishawahi kufunguliwa na wakati wa kurudishiwa haukufungwa vyema ukaruhusu upenyo japo kiduchu lazima gari linuke petrol na hii ni hatari pia
 
Nafiriki kuna shida kwenye fuel system hasa kama mfuniko wa boya la fuel tank uko chini ya siti ya nyuma na kama ulishawahi kufunguliwa na wakati wa kurudishiwa haukufungwa vyema ukaruhusu upenyo japo kiduchu lazima gari linuke petrol na hii ni hatari pia

Sawa kabisa
 
Nafiriki kuna shida kwenye fuel system hasa kama mfuniko wa boya la fuel tank uko chini ya siti ya nyuma na kama ulishawahi kufunguliwa na wakati wa kurudishiwa haukufungwa vyema ukaruhusu upenyo japo kiduchu lazima gari linuke petrol na hii ni hatari pia

Nini solution mkuu
 
Mkuu Paso toleo la kwanza ndo ipoje hiyo?

Mkuu mfano MTU akikuwekea rav4 old model na Escudo old model uta prefer IPI? na kwanini?

Nilishawahi uliza swali linalofanana na hilo humu wengi wakasema rav4 but all I know ktk hizo mbili escudo ina preferences zake ambazo ni better of kuizidi rav4,binafsi naikubali escudo kwa sababu ina himili off road cruising kuzidi rav4 hususani option yake ya driver operated 4wd lever,so kwangu escudo ni bye kwa sababu naweza kwenda nayo popote bila hofu ya weather au road constraints,escudo the best to me
 
Habari ndugu zangu...
Nawpongeza sana wana jf kwani huwa najifunza mengi kwenye hili jamvi. leo ningependa ushauri kuhusu gari ile niweze kufanya maamuzi sahihi. ninahitaji toyota saloon na kwa mapenzi yangu mimi ningepenga gari ambayo inastahimili barabara ya vumbi na ulaji wa mafuta mzuri , pia iwe ya bei nafuu ya kuagiza kutoka nje. binafsi ningependa CORONA PREMIO 2000, COROLLA 2000.

Naomba ushauri
1.nichukue ipi? au nichukue tofauti na aina hizo za gari?
2.pia ningependa kujua ni aina gani ya ingini ni bora kwa mazingira niliyotaja??.........
3.pia kwa wazoefu wa kuagiza magari kuagiza aina hizi za gari za mwaka 2000 inaweza kugharimu sh. ngapi mpaka gari inaingia barabarani???

Asante sana..

Bado COROLLA inabamba soko hata kwa uimara, CORONA sijui zina tatizo gani zimeshindwa kabisa kuwaingia watanzania na kwakweli zinasemwa kutokuwa imara

Kuhusu mambo ya uagizaji watalaam wapo watakuja au fuatilia post za nyuma utapata mwanga
 
Wanajamii nina tatizo la hzi injini D4 na VVTI nataka kununua rav4 hz kili time lakini nyingi zina injini ya D4 sasa hv na wenzetu wanasema ni very powerful na ni za kisasa ila mafundi wa kibongo wanadai bora vvti na d4 sio kabisa. sasa tatizo ni injini au hatuna wataalamu hapa bongo
 
Wanajamii nina tatizo la hzi injini D4 na VVTI nataka kununua rav4 hz kili time lakini nyingi zina injini ya D4 sasa hv na wenzetu wanasema ni very powerful na ni za kisasa ila mafundi wa kibongo wanadai bora vvti na d4 sio kabisa. sasa tatizo ni injini au hatuna wataalamu hapa bongo

Kuna wakati kutishana kupo sana lakini tunaondoka kwenye ulimwengu wa manual inabidi tubadilike sasa
Tulitishwa sana na kuaminishwa kuwa automatic ni gari mbovu sana na hazidumu! Nina balloon cresta kuanzia 2002 mpaka leo inadunda

Kuna gari kweli zina shida kwenye mifumo mbalimbali na kwakweli zinatesa watu lakini kuna wakati lazima tukubaliane kuwa kila kitu ni utunzaji!

Tunashauriana sana hapa jamvini kuhusu magari mazuri na imara ni jambo jema sana lakini kuna wakati huwa tunashauri kutokana na woga au kusikia tu toka kwa mafundi wetu waoga ambao ni wagumu kubadilika na kujifunza teknolojia mpya
 
Jamani,kwanza Napongeza kwa ukurasa huu mzuri.
Ningependa kujua,je ni wapi na namna gani naweza kulefusha gari langu matairi kama hii gari hapa?nataka iwe ndefu zaidi kama hii,je ni fundi mtaalamu gani kwa hapa tanzania anaweza kufanya hili.? ImageUploadedByJamiiForums1427110322.586874.jpg
 
Nilishawahi uliza swali linalofanana na hilo humu wengi wakasema rav4 but all I know ktk hizo mbili escudo ina preferences zake ambazo ni better of kuizidi rav4,binafsi naikubali escudo kwa sababu ina himili off road cruising kuzidi rav4 hususani option yake ya driver operated 4wd lever,so kwangu escudo ni bye kwa sababu naweza kwenda nayo popote bila hofu ya weather au road constraints,escudo the best to me


Mkuu hivi ukitaka kutoa 4WD kwenye hizi Escudo unafanyaje? au full time 4WD?
 
Mkuu ebu niongezee somo apo kwenye rs200 kwenye altezza

Toyota Altezza zina matoleo tofauti tofauti. RS 200 ambazo nazo zik standard RS200, Z edition na L Edition, Hizi kuna Manual 6MT na 5AT zote hizi ni 4cylinder. Kuna AS200 ambazo pia kuna Z na L edition zote hizi zinatumia 1G 6 cylinder engines na ni 4AT, L edition RS200 zimeongezewa options kama leather seater na 8 ways seats control pamoja na Traction control na kwa 6MT zina LSD (Z na L tuu) ambazo ndizo ninafaa kufanya drifting, yaan kuizungusha kama tiara pamoja na airbags 4 mpaka 6. kwa Z edition seats ni kitambaa kawaida sio leather ila kuna baadhi zinakuja TRC na Airbags 6. Ni hayo tuu kwa ufupi mkuu, kwa msaada wa google unaweza kuchimbua zaidi tofauti ya RS200 na RS200 Z, L editions pia AS200 Z na L editions.
 
Jamani,kwanza Napongeza kwa ukurasa huu mzuri.
Ningependa kujua,je ni wapi na namna gani naweza kulefusha gari langu matairi kama hii gari hapa?nataka iwe ndefu zaidi kama hii,je ni fundi mtaalamu gani kwa hapa tanzania anaweza kufanya hili.?View attachment 237132

Gereji nyingi za Tabata na Ilala wanafanya hizi mambo
Ila si nzuri sana kwakuwa gari hupoteza udhibiti wa barabara hasa ukienda zaidi ya spidi 80
 
Kaka MSHANA kama tungepata refference doc au sheria inayotambulika na Govt ya hii kitu ingekua poa sana ili kw
 
hivi wadau mbona katika hizi ndogo naona paso watu wengi binafsi wanaziuza sana,hata ukitembelea may be zoom tz,utaziona nyingi tuu,
vipi mbona wanazichoka mapema,au zina tatizo nini?
 
hivi wadau mbona katika hizi ndogo naona paso watu wengi binafsi wanaziuza sana,hata ukitembelea may be zoom tz,utaziona nyingi tuu,
vipi mbona wanazichoka mapema,au zina tatizo nini?


Nafikiri ni uwezo mdogo kuliko matarajio yao...

Ngoja tusikie maoni ya wengine kuhusu passo.. RRONDO... Rene Jr MANI
 
Last edited by a moderator:
Natak kutafta gari yeny uwezo wa kutembea vzr ktk rough road amby iko economical ktk mafuta... Nlipendkeza Harrier lkn ktk mafuta co nzur... Wataalam nsaidien
 
Luqman tafuta Toyota kluger ya mwaka 2004 iwe na engine ya 2AZ VVTi 2400cc full option with 4WD ogopa ile ya 3000cc,kluger inahimili kidogo kulinganisha na Harrier other tafuta Toyota hilux 2RZ 215 hii haibishaniwi
 
Back
Top Bottom