Sina uzoefu sana wa magari ila gari hii nataka kununua mkononi kwa mtu ila engine imeshauriwa kuibadilisha maana iliyo ni si V6 kulingana na gari ilivyo so mafundi wameshauri kuweka nyingine sasa kuna hizo sijui option ya 1MZ-FE, 3MZ-FE na 2GR ..ambazo ni V6 sasa sijajua ipi inafaa..na kama una ushauri zaidi nitashukuru maana ndio tunajifunza hizi mamboPoa wewe machaguo yako ni yapi? Usichukue ya umeme mwingi.. Usichukue ya engine ndogo
Inayotolewa ina shida gani? Isije kuwa hao mafundi wanatafuta tu kulaSina uzoefu sana wa magari ila gari hii nataka kununua mkononi kwa mtu ila engine imeshauriwa kuibadilisha maana iliyo ni si V6 kulingana na gari ilivyo so mafundi wameshauri kuweka nyingine sasa kuna hizo sijui option ya 1MZ-FE, 3MZ-FE na 2GR ..ambazo ni V6 sasa sijajua ipi inafaa..na kama una ushauri zaidi nitashukuru maana ndio tunajifunza hizi mambo
Iko poa sanaMwenye uzoefu NA kuifahamu gari hii TOYOTA AQUA ubora wake ulaji mafuta NA upatikanaji WA spare zake
2Az sio v engine bana. Hio ni inline 4... but go for kluger. Chagua v engine (v6) kama hutojali sana kuhusu ulaji wa mafuta na unahitaji nguvu zaidi. Lakini chagua inline 4 (2 az) kama unataka isiokula mafuta sana, japo haina nguvu sana kama hio v6.Habari wanajamvi.
Nina plan ya ku upgrade sedan yangu to Suv
Sababu kubwa ni safari nazofanya 3 times a year (km 3500 go and return)
Nimekuwa nikitumia Premio second generation (inafanya poa highway perfomance na confortability)
But kwenye mizigo na rough road ndo mahali ime prove failure kila nikifanya hizo safari hata 1 nakuta bush zote zimekufa. Na inagusa na kugonga sana chini
Nawaza kuamia kwenye mid range suv
Naomba ushauri ni gari gani ni best mid suv ya kuanzia 2009 to 2012 ikiwa nazingatia dursbility na fuel consumption.
Machaguo yangu adi sasa ni
1.Rav 4 (2007/09) engine 2az
2.kluger v engine 2az
3.harrier tako la nyani engine 2az
Angalizo(bado ni hard fun wa toyota)
Kama kuna machaguo zaidi kwenye hizo gari upande wa Toyota share hapa
Kabla sijafanya maamuzi
Nikiamin hapa.kuna waliotumia hizo gari ama wana weza recomend any other car within range hiyo lakin toyota
Brand nyingine usipoteze muda kunishauli mm ni toyota damu.
Jamani poleni na shughuli na miangaiko ya siku, naomba kuuliza Jambo moja,nimejaribu kufatilia gari moja Aina ya Toyota fielder lakini Kuna vitu sijavielewa nimeiona Kuna engene tofauti tofauti MF DBA-NZE141G,DBA-NZE161 G,DAA-NKE165 G lakini zote 1490 cc hivi ni vitu gani na vinaelezea nini?
Sawa,Asante sanaHizo zote ni 1NZ (probably 1nz-fe) engines. Hizo namba hapo herufi herufi hapo mwanzon nafkir ni namba tu za usajil or something, ila ni engine ileile. Focus kwenye hio "NZE"
Sent using Jamii Forums mobile app
1NZ-FE NI CC 1490 NA 2NZ-FE NI CC 1290Wakuu naomba kufahamishwa Kuna tofauti gani Kati ya Hizi engines mbili 2NZ- FE na 1NZ-FE?zote Sina cc 1290 ipi ni Bora zaidi?
1NZ_FE NI BORA ZAIDINa ubora je?
1NZ_FE NI BORA ZAIDINa ubora je?
Swala la kuishiwa maji mara kwa mara inawezekana linavujisha. Ili kufanya engine yako idumu zaidi, usiongeze maji (ongeza coolant ikibidi) alafu peleka kwa fundi akukagulie ni wapi panavuja.Naombeni ushauri gari yangu kwasasa inamaliza maji mara kwa mara tatizo nini wakuu pia ukipiga stata lazima ushikilie kwanza ufunguo kwa muda ndy iwake ukiachia inazima tatizo nimeliona jana tu