Busara za mzee
Member
- Jun 11, 2023
- 36
- 25
Pokea maua Yako Mshana..Matunzo[emoji1752]
Mshana jrPokea maua Yako Mshana..
Naomba ushauri nataka ninunue gari aina ya mistubishi chariot.
Nimeipenda Kwa sababu ya ukubwa wake hasa Siti Kwa ajili ya familia. Nanunua Kwa mtu. Ina injini ya rav 4
Sijui Changamoto ya hizi gari mistubishi chariot naomba msaada kujua spare zake, JE inahimili rough road n.k
[emoji1545]gari zuri sana ila zingatiaPokea maua Yako Mshana..
Naomba ushauri nataka ninunue gari aina ya mistubishi chariot.
Nimeipenda Kwa sababu ya ukubwa wake hasa Siti Kwa ajili ya familia. Nanunua Kwa mtu. Ina injini ya rav 4
Sijui Changamoto ya hizi gari mistubishi chariot naomba msaada kujua spare zake, JE inahimili rough road n.k
Vipi kuhusu upatikanaji wa spare?[emoji1545]gari zuri sana ila zingatia
Service
Genuine parts
Genuine lubricants
Sheria za uendeshaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo mtandaoni za kumwaga! Achana kabisa na modificationVipi kuhusu upatikanaji wa spare?
Na vipi ilivyofanyiwa modification na kuwekewa engine ya rav 4. Kiutaalamu hii imekaaje?
Asante Kwa usahuri wako mzuri sema Sina kipato kikubwa Cha kuweza kuagiza nnje. Niliulizia be forward nikakimbia.
Ingia Google au Alibaba achana na huyo bepari mlanguziAsante Kwa usahuri wako mzuri sema Sina kipato kikubwa Cha kuweza kuagiza nnje. Niliulizia be forward nikakimbia.
Sasa Kuna mtu anayo anataka aniuze ndio nikaogopa nikasema niulize kwanza
Asante sana mkuu. Ngoja nifanye hivyo
Tatizo ni camber kapime utaonaMshana naomba ushauri gari yangu toyota ipsum new model inamaliza tairi yanyuma moja upande wa ndani nimefunga ball joint tatizo bado nifanyaje?
15+ km per literWaheshimiwa Nina swali:
Kwa uzoefu wako je Toyota Raum new model inatembea km ngapi Kwa Lita moja ya petrol?
(Toyota Raum cc1490)
Thanks in advance.
your's faithful,
Grand Canyon.View attachment 2659480
Ipsum nyingi old model zina hii shidaHabari wakuu gari yangu Toyota ipsum new model inatembea 8.5km per lita kwenye rough road je hii nisawa wakuu? Kama siyo tatizo inaweza kua nini?
Ni ya mwaka gani?Habari wakuu gari yangu Toyota ipsum new model inatembea 8.5km per lita kwenye rough road je hii nisawa wakuu? Kama siyo tatizo inaweza kua nini?
2002Ni ya mwaka gani?
Yangu ninew model lakini
Fanya diagnosis na kama ulibadili plugs linaweza kuwa tatizo piaYangu ninew model lakini
Nashukuru kwa elimu mkuuIpsum naona zinatofautiana kulingana na mwaka na aina na kwa utofauti huo hata ulaji wa mafuta unatofautiana, mfano kuna ipsum ya mwaka 2001-2007 kamq sinakosea 240u, 240s, 240i nk na hizi zote zinatofautiana kulingana na mwaka, sasa utofauti uliopo ni kwamba kuna za Front wheel drive, kuna AWD na kuna zenye 4WD full time na za option, sasa kwa sifa hizo haziwezi zikawq sawa kwenye ulaji wa mafuta lkn top kabisa ya ulaji ulaji mdogo wa mafuta kwa mujibu wa manufacturer ni kwamba Ipsum inakula 9-12l/km100, ila sasa inaweza kupungua kutokana na sababu zifuatazo, Uendeshaji wako, service mbovu, na uzito wa gari namaanisha umepakia uzito wa kiasi gani kwenye gari