kush mafichoni
Member
- Aug 6, 2023
- 31
- 20
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu bila shakaSamahni kwa usumbufu jaman msinichoke!? Na maswali,
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Zingatia sheria za barabaraniSwal la pili: unapaswa ufanye nn unapoondesha gali usiku!??
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Ishara ya ving'ora na pikipiki ya polisi ana Gari ya escortnaomba msaada ni ishala gani itakayo kuonesha. Kwamba mtu mashuhuli anapiyltaa!?? Na utafanya nn!??
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Kuendelea na shughuli zako ama kushangaa magari yakipita kama huna la kufanya
Yaan ikionekanaa na ww unaendesha gali uko balabalaniKuendelea na shughuli zako ama kushangaa magari yakipita kama huna la kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan wakat na ww upo balabalani unaendeshaKuendelea na shughuli zako ama kushangaa magari yakipita kama huna la kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Utapewa ishara ya kupisha msafaraYaan ikionekanaa na ww unaendesha gali uko balabalani
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Asantee kiongozi nashukulu, na swal la mwisho ni balabala ya vumbi inaweza kupewa hadhi ya kuwa balabala kuu!??
🤣🤣🤣🤣Kuendelea na shughuli zako ama kushangaa magari yakipita kama huna la kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Natafuta kibasi. Kigumu cha njia ya vumbi kama DCM au TATAKumekuwa na mada nyingi kuhusu mambo yote yahusuyo magari, nikaona basi na sisi tuwe na Uzi huu ambapo habari zote zihusuzo magari kuanzia kuchagua, kuagiza, kuuza, kubadili nyaraka, matengenezo utunzaji na kadhalika.
Watu wengi wametapeliwa kwenye mauzo na manunuzi, kwenye nyaraka, kwenye vipuri kwenye matengenezo na hata matumizi.
Kwa Uzi huu basi kila mwenye ujuzi, uzoefu, ushauri au mwenye maswali na tatizo lolote linalohusiana na magari hapa ndio pawe uwanja wake
Karibuni sana
Ushauri: Jinsi ya kununua gari iliotumika ndani ya Tanzania
Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!
USHAURI: Ununuaji wa magari...
View attachment 225786
Inategemea inaenda wapi kama ni feeder road hapana ila kama ni main road ni sawa bila kujali hali yakeAsantee kiongozi nashukulu, na swal la mwisho ni balabala ya vumbi inaweza kupewa hadhi ya kuwa balabala kuu!??
Sent from my Infinix X6516 using JamiiForums mobile app
Ok nitakuangaliziaNatafuta kibasi. Kigumu cha njia ya vumbi kama DCM au TATA
Natanguliza shukran