Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Gari ni suzuki escudo automatic transmission gari hii niliisimamisha mwaka mzima kwa tatizo la gear zilikuwa zinaslip hivi karibuni nilitaka nilifufue gari hili na kabla ya kufungua gearbox nilikuta coil moja imekufa pia fuel pump ilikuwa imekufa baada ya kufanya replacement ya vitu hivyo gari liliwaka na nimejaribu kulitembeza nimekuta tatizo la gia kuslip halipo limejisahihisha bila ya matengenezo ila kuna tatizo jipya limejitokeza nikiliendesha kama kilomita mbili dashboard inaandika check engine na mshale wa rpm unacheza na kisha gari linazima ukikaa kama dakika moja ukiliwasha linawaka lakini ukitembea kidogo hali ya gari kuzima inajirudia tena Wataalamu sijui shida ni nini?ni control box au ni mfumo tu wa wiring?Msaada tafadhali
 
Gari ni suzuki escudo automatic transmission gari hii niliisimamisha mwaka mzima kwa tatizo la gear zilikuwa zinaslip hivi karibuni nilitaka nilifufue gari hili na kabla ya kufungua gearbox nilikuta coil moja imekufa pia fuel pump ilikuwa imekufa baada ya kufanya replacement ya vitu hivyo gari liliwaka na nimejaribu kulitembeza nimekuta tatizo la gia kuslip halipo limejisahihisha bila ya matengenezo ila kuna tatizo jipya limejitokeza nikiliendesha kama kilomita mbili dashboard inaandika check engine na mshale wa rpm unacheza na kisha gari linazima ukikaa kama dakika moja ukiliwasha linawaka lakini ukitembea kidogo hali ya gari kuzima inajirudia tena Wataalamu sijui shida ni nini?ni control box au ni mfumo tu wa wiring?Msaada tafadhali
Unatakiwa kufanyia service gari yote hata fuel pump ni ya kucheki pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1699398982273.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4.
Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km.
Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hasa ukiwa na watu. labda uwashushe ndio uendelee na ni mwinuko mdogo tu.

Nimejaribu kuuliza mafundi mbalimbali sijapata jibu. Naombeni msaada wenye uzoefu na hizi engine.
 
Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4.
Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km.
Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hasa ukiwa na watu. labda uwashushe ndio uendelee na ni mwinuko mdogo tu.

Nimejaribu kuuliza mafundi mbalimbali sijapata jibu. Naombeni msaada wenye uzoefu na hizi engine.
Duuh 1lt km 3![emoji23][emoji23]
Nacheka kama mazuri..pole mkuu

ulinunua kwa mtu?
 
Habari,je kuna utofauti wa uwezo wa oil,baina ya Castro 5w-30 na Total 5w-30,kwanini Castrol ina gharama?
 
Naombeni msaada. Nimenunua Voxy first generation engine ya 1az fse wengine wanaiita D4.
Inakula mafuta balaa. 1 litre kwa 3km.
Na kwenye mlima haina nguvu kabisa hasa ukiwa na watu. labda uwashushe ndio uendelee na ni mwinuko mdogo tu.

Nimejaribu kuuliza mafundi mbalimbali sijapata jibu. Naombeni msaada wenye uzoefu na hizi engine.
Mshana Jr
 
Gari ni suzuki escudo automatic transmission gari hii niliisimamisha mwaka mzima kwa tatizo la gear zilikuwa zinaslip hivi karibuni nilitaka nilifufue gari hili na kabla ya kufungua gearbox nilikuta coil moja imekufa pia fuel pump ilikuwa imekufa baada ya kufanya replacement ya vitu hivyo gari liliwaka na nimejaribu kulitembeza nimekuta tatizo la gia kuslip halipo limejisahihisha bila ya matengenezo ila kuna tatizo jipya limejitokeza nikiliendesha kama kilomita mbili dashboard inaandika check engine na mshale wa rpm unacheza na kisha gari linazima ukikaa kama dakika moja ukiliwasha linawaka lakini ukitembea kidogo hali ya gari kuzima inajirudia tena Wataalamu sijui shida ni nini?ni control box au ni mfumo tu wa wiring?Msaada tafadhali
Niliwahi pata tatizo kama Hilo tukaja kuta ni can sensor imekufa, kubadilisha tu gari mpya.
 
Habari wana jamvi ,


Nina toyota crown nimekuwa nikiitumia kwa mda mrefu ,

Leo katika kuwasha gari asubuhi ,ghafla nakuta gauge /mshare wa mafuta haufanyi kazi vizuri ,yaani unashuka na kupanda mafuta yapo robo tatu tanki.

Vile vile odometer yaani kilometa za gari hazitembei kabisa ,yaani namba hazisogei kabisa zimebaki pale pale .

Msaada wa mawazo nijue ABC ya tatizo kabla sijaenda kwa fundi.


Natanguliza shukrani.
 
Back
Top Bottom