Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Asante mkuu, hii itakuwa kigezo cha kuagizia gari.
By the way ni mfano wa gari ipi used yaweza kwenda hadi 30km/litre? Aisee hii ndo ya kununua

Zipo corolla hybrid hapa Tanzania nimeshawahi kuziona 2,3! Ila zina shida moja control sensor ya motor engine na battery ikifa gharama yake si chini ya usd1500
 
Zipo corolla hybrid hapa Tanzania nimeshawahi kuziona 2,3! Ila zina shida moja control sensor ya motor engine na battery ikifa gharama yake si chini ya usd1500

Thanks, control sensor sidhani kama zinaharibika haraka?
 
Habari mkuu…. Kuna land cruiser yenye engine ya 1HZ… kwenye in let mainford kumelowana sana oil…. je shida inaweza kuwa nn MSAADA TAFADHALI
 
Wapendwa nahitaji msaada katika hili,hivi kwa mfano ukanunua gari used nchi jirani kama kenya au uganda,je utahitaji kubadiri namba na kulipa ushuru tena unapoitumia tanzania?na inakuaje hasa utaratibu?Ahsante
 
Wapendwa nahitaji msaada katika hili,hivi kwa mfano ukanunua gari used nchi jirani kama kenya au uganda,je utahitaji kubadiri namba na kulipa ushuru tena unapoitumia tanzania?na inakuaje hasa utaratibu?Ahsante

Unafanya taratibu zote za kulipia ushuru na kupata namba mpya za nchini
 
Habari mkuu…. Kuna land cruiser yenye engine ya 1HZ… kwenye in let mainford kumelowana sana oil…. je shida inaweza kuwa nn MSAADA TAFADHALI

Mainford gasket imechoka kaka ni ya kubadili
 
Habari mkuu… mainford gasket iko vizuri… imelowana ndani ya mainford baada ya kufungua ile horse ya air cleaner…. MSAADA TAFADHALI
 
Habari mkuu… mainford gasket iko vizuri… imelowana ndani ya mainford baada ya kufungua ile horse ya air cleaner…. MSAADA TAFADHALI

Basi kwa vyovyote kuna leakage mahali hasa baada ya kufungua hiyo horse ya aircleaner pengine haikurudishiwa vema
 
Kwa yeyote mwenye gari ndogo aina yeyote nzuri aweza kuni PM bajeti yangu ni milion 4
 
Mkuu ngoja tusubiri wataalamu waje, ila terious kid naona iko poa sana kwani consumption yake ya mafuta iko poa sana na pia ina 4wD.Ila kwa upande wa spare part zake sijajua.mafuta inakula 10l-15L/100km
 
Kama uli appear kwenye list ya pale ukombozi chukua BMW vinginevyo ni sheeeder!!!!! tairi tu mtaji wa mpesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…