Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #881
Asante mkuu, hii itakuwa kigezo cha kuagizia gari.
By the way ni mfano wa gari ipi used yaweza kwenda hadi 30km/litre? Aisee hii ndo ya kununua
Zipo corolla hybrid hapa Tanzania nimeshawahi kuziona 2,3! Ila zina shida moja control sensor ya motor engine na battery ikifa gharama yake si chini ya usd1500