Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

nisaidieni nina gari yangu aina ya suzuki aerio kwenye dip stick ya transmission imeandikwa nitumie ATF3317 or equivalent oil ntakujuaje hiyo equivalent oil maana ATF3317 uku haipatikani msaada jamani maana kila oil ninayotumia inasumbua kubadili gear

Suzuki Aerio? Ingia kwa mtandao tu ama search kama facebook kuna group la hiyo model ya magari uone watu wanavyopeana uzoefu huko
 
Fundi msaada gar yangu inakausha xna maji na inapata heat mapema nimebadili gasket ila bado ni tatizo nifanYEJE ni engne 3L pick up hilux
 
Fundi msaada gar yangu inakausha xna maji na inapata heat mapema nimebadili gasket ila bado ni tatizo nifanYEJE ni engne 3L pick up hilux

Kagua rejeta kama haivujishi. Kama rejeta nzima kagua mfuniko wa rejeta kama ni nzima. Inawezekana mfuniko unaruhusu maji kuhama kwenye rejeta kwenda kwenye tenki la 'kulanti' bila kuzingatia mgandamizo sahihi.

Na kwa kuwa tenki la kulanti ni dogo maji humwagika nje yakijaa hivyo kwenye rejeta hupungua.
 
Can you define 'New model please?'

Ist ya 2014 au ya 2015?

Labda nitoe ufafanuzi,,,yan ukiamua kuagiza murano used ya 2003 kwabei iliyopo online pmj na ushuru wa tra ukiwa na m15 unamaliza kila kitu....wkt kwa ist ya 2008 mpk uwe na angalau 19m
 
Wanajamvi msaada kuhusu Subaru legacy b4 - sedan. Spare parts na wap zinapatikana,matumizi ya mafuta,matatizo na ubora wa engine.
 
Kagua rejeta kama haivujishi. Kama rejeta nzima kagua mfuniko wa rejeta kama ni nzima. Inawezekana mfuniko unaruhusu maji kuhama kwenye rejeta kwenda kwenye tenki la 'kulanti' bila kuzingatia mgandamizo sahihi.

Na kwa kuwa tenki la kulanti ni dogo maji humwagika nje yakijaa hivyo kwenye rejeta hupungua.
decomm ni radiator water reserve tank, coolant ni maji spesheli yanayotumika kwenye radiator na reserve tank
 
Last edited by a moderator:
Wanajamvi msaada kuhusu Subaru legacy b4 - sedan. Spare parts na wap zinapatikana,matumizi ya mafuta,matatizo na ubora wa engine.

Ina majibu yake tayari hebu pitia post za N'yadikwa, utapata full version
 
Last edited by a moderator:
Labda nitoe ufafanuzi,,,yan ukiamua kuagiza murano used ya 2003 kwabei iliyopo online pmj na ushuru wa tra ukiwa na m15 unamaliza kila kitu....wkt kwa ist ya 2008 mpk uwe na angalau 19m

Mkuu ebu ongeza kidogo basi duh m15 unapata Murano? Maana unataka kusema mpk kila kitu ni $8000 assuming CIF ni $4000 kitu ambacho nimecheki sijaona kwa baadhi ya giant sellers wa magari used. Anyway sawa tu!!
 
Wana JF,
Kwa wale ambao wameisha wahi nunua gari toka Japan.
July last year nilinunua gari toka japani, clearing agent (BEFORWARD TANZANIA) alinitaka nimlipe clearance fee ambayo alianzia 400 USD. Tuli bargain mwisho wa siku nikamlipa 250USD. Mwaka huu pia nimenunu tena gari nyingine, clearing agent kuna baadhi ya gharama hapa amenitajia ambazo kwenye gari ya kwanza sikukutana nazo. Nazo ni TPA fee 100 USD na Shipping fee Tsh 600,000/=. Kwa wenye uelewa zaidi wa masuala haya , hili lipo sahihi?
Natanguliza shukrani!
 
Mkuu unaagiza gari gani?,ningekufanyia clearance nzuri sana kama ungependa niPM
 
nliwai agiza hiyo kampuni nakumbuka clearing fee ilikua 250,000 labda wamebadilisha rate wanapokea dola
 
Back
Top Bottom