Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Kwa wapenzi wa mziki mzuri na mzito lakin gari yako haina buti yakutosha ili uweze kuweka box kubwa la spika nazani hii dizain ya spika zitawafaa sana

Safi sana unauzaje na zinapatikana wapi?
 
Hiyo spika ya ni shallow kwa hiyo haiitaji box kubwa,na power amp ya kupush spika hiyo weka kitu cha kenwood mono D class,,,uzuri wa mono ni kuwa power yote inayozalishwa inaenda kwa muhusika direct tofauti na stereo au four chanel,,watu wengi wanatumia 4 chanel amp wkt wanaspika moja inayotumika kwenye amp na hvyo kupoteza umeme wa betri na kuzalisha joto ndani ya gari pasipo kua ulazma.
 

Attachments

  • 1430548803712.jpg
    1430548803712.jpg
    17.8 KB · Views: 285
Bei gani hiyo?
Mwanza ni laki inch 12 ikiwa kwenye housing ni laki 3..hla ndugu mshana najua wewe una access na nairobi jaribu kuagiza huko maana hata huyu mwenye duka la hapa mwz anazitolea nairobi..baas yake ni heavy and smooth uwez amin
 
Mwanza ni laki inch 12 ikiwa kwenye housing ni laki 3..hla ndugu mshana najua wewe una access na nairobi jaribu kuagiza huko maana hata huyu mwenye duka la hapa mwz anazitolea nairobi..baas yake ni heavy and smooth uwez amin

Pouwa tena nina safari ya huko next week
 
dah hv mimi nkitaka kununua walau ka swift toka japan mpk iingie barabarani nijiandae km sh ngap? kila k2 i mean Cif,kodi,clearing,usajili etc
 
Pouwa tena nina safari ya huko next week

Mkuu mshana jr salaam.

Nami unisaidie kuulizia maana nahitaji kitu kama hiyo inch 10 should do for me..na ukipata utuambie mapema kama vipi nikuagize uje nayo kabisa mkuu!

PLUS:

NINA HITAJI: Tairi za gari size 14 na sports rim in exchange nimpe muuzaji zangu size 13 na wheel cover zake niongezee na pesa kidogo juu! Anyone anamjua anyone atakayeweza kunifanikishia hili? Natanguliza shukrani. Nipo DSM.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mshana jr salaam.

Nami unisaidie kuulizia maana nahitaji kitu kama hiyo inch 10 should do for me..na ukipata utuambie mapema kama vipi nikuagize uje nayo kabisa mkuu!

PLUS:

NINA HITAJI: Tairi za gari size 14 na sports rim in exchange nimpe muuzaji zangu size 13 na wheel cover zake niongezee na pesa kidogo juu! Anyone anamjua anyone atakayeweza kunifanikishia hili? Natanguliza shukrani. Nipo DSM.

Why unatumia tair za bajaji😀😀😀
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale ambao kwenye bodi za gari zao wamejaza antena za kila aina ili waweze kupata usikivu mzuri wa fm radio naomba mzing,oe na mbakize kale kaa antenna orginal na ununue antenna booster hapo chini kwenye picha,,,hila uwez kufunga mwenyewe mpk fundi waya au fundi radio za magari coz kanaitaji kafungwe ndani ya dashboard na pili kanaitaji kapewe voltage
 

Attachments

  • 1430574016585.jpg
    1430574016585.jpg
    11 KB · Views: 368
Mkuu mshana jr salaam.

Nami unisaidie kuulizia maana nahitaji kitu kama hiyo inch 10 should do for me..na ukipata utuambie mapema kama vipi nikuagize uje nayo kabisa mkuu!

PLUS:

NINA HITAJI: Tairi za gari size 14 na sports rim in exchange nimpe muuzaji zangu size 13 na wheel cover zake niongezee na pesa kidogo juu! Anyone anamjua anyone atakayeweza kunifanikishia hili? Natanguliza shukrani. Nipo DSM.
Mentor nikianza mwendo nitawajulisha wote halafu wewe takupm
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale ambao kwenye bodi za gari zao wamejaza antena za kila aina ili waweze kupata usikivu mzuri wa fm radio naomba mzing,oe na mbakize kale kaa antenna orginal na ununue antenna booster hapo chini kwenye picha,,,hila uwez kufunga mwenyewe mpk fundi waya au fundi radio za magari coz kanaitaji kafungwe ndani ya dashboard na pili kanaitaji kapewe voltage

Hii inaitwa FM booster ukifunga kwenye radio yako unapata frequency 87.0-108 roughly ni kama stations 30 ni kadude kazuri mno
 
Back
Top Bottom