BRO EDDY
Member
- Dec 6, 2010
- 22
- 3
Safi sana Mshana kwa huu uzi! Naombeni ushauri nataka kununua BMW 3 series ya mwaka 2000! naombeni ushauri wa kitaalam uimara wake na engine ipi nzuri ya hiyo gari maana nimepitia showroom mbalimbali nimeona zinatofautiana engine! Spear zake pia vipi hapa bongo? Ubaya wa hizo gari pia ukoje? Ulaji mafuta vipi?
Suzuki Aerio na Mazda demio station wagon nazo vipi?
Naomba kuwakilisha
Suzuki Aerio na Mazda demio station wagon nazo vipi?
Naomba kuwakilisha