Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Wakubwa mnisaidiee kazi ya OD GEAR pia Gari yangu ina cc 1389 je inauwezo wa kusafiri kilometers ngapi bira kupumzishaaa na bira kuchemshaaa
 
habari za leo wakuu,tuliuziwa gar lkn kwa bahati mbaya lilikopewa bank na muuzaji kaingia mitini,baada ya kukopa bank alienda police na kudai alipotelewa na card hivo akatengenezewa ingine kimbembe kimetokea wakati tumeenda TRA kubadili card,card ikakamatwa,tukamtafuta midle man wa ile biashara na tukamfikisha mahakamani ili amlete mwenzake,je nn kitatokea
 
Hii ndio changamoto ya nchi TRA inapaswa kuwa na wigo mpana wa kuchunguza vyombo vya usafiri hata kadi unaweza iba ukatengeneza mkataba feki ukapewa kadi mpya yenye jina lako. Middleman anaweza kuwa hajui chochote ila atasaidia kumpata mhusika kama wana mawasiliano! Tofauti na hapo angalieni benki ilikuwa inadaiwa ngapi mfanye tathmini kama vipi mlipe, kesi zina gharama!
 
Sante kwa ushauri mzuri Bro Eddy,tatizo lililopo middleman anamkingia kifua muuzaji mana kapewa karibu wiki 3 aende bank kuchukua taarifa zake,lkn hakufanya hivo!
 
habarini wakuu!!! ninaomba ushauri kuhusu suala la kodi za kuingiza gari nchini!! kuna gari ninataka kuinunua ni Nissan Fuga ya mwaka 2005, cc 2490 ,bei yake hadi bandarini dar ni kiasi cha us dollars 2800 ambazo ni sawa na tsh 5,600,000 kwa exchange rate ya sasa,but kuna agent amenidokeza kuwa kodi ntakayopaswa kulipa tra yaweza kufikia 10 m .hali inayonipa mashaka kuagiza gari hii ingawa naipenda sana!! pia naomba ushauri kuhusu vipi upatikanaji wake wa spea hapa tz.naomba mchango wenu wakuu
 
habarini wakuu!!! ninaomba ushauri kuhusu suala la kodi za kuingiza gari nchini!! kuna gari ninataka kuinunua ni Nissan Fuga ya mwaka 2005, cc 2490 ,bei yake hadi bandarini dar ni kiasi cha us dollars 2800 ambazo ni sawa na tsh 5,600,000 kwa exchange rate ya sasa,but kuna agent amenidokeza kuwa kodi ntakayopaswa kulipa tra yaweza kufikia 10 m .hali inayonipa mashaka kuagiza gari hii ingawa naipenda sana!! pia naomba ushauri kuhusu vipi upatikanaji wake wa spea hapa tz.naomba mchango wenu wakuu

Nenda web ya tra...kuna kalkuleta ya kupiga hesabu ya kodi...fuata maelekezo utajua kodi shahiki
 
habari za leo wakuu,tuliuziwa gar lkn kwa bahati mbaya lilikopewa bank na muuzaji kaingia mitini,baada ya kukopa bank alienda police na kudai alipotelewa na card hivo akatengenezewa ingine kimbembe kimetokea wakati tumeenda TRA kubadili card,card ikakamatwa,tukamtafuta midle man wa ile biashara na tukamfikisha mahakamani ili amlete mwenzake,je nn kitatokea

Poleni. Huyo "middle man" ameshitakiwa kwa kosa gani?
 
thanks in advance!!! hakuna gharama nyingine zaidi ukiacha za agent?

Hello, kwanza kabisa kodi haiwezi fika 10m, then naomba usinunue Gari kwa agent, unaeza lia, mimi binafsi nafanya kazi na kampuni ya kijapani ya kuuza used cars toka Japan, na kampuni in branch hapa Tanzania office zipo hapa Quality Center, Nyerere Road Dar es salaam, almaarufu kama uchumi supermarket. Njoo ujionee huduma zetu, ukiridhika sawa, naomba nipigie au whatssap kwa 0767328063 au check out our website www.autocj.co.jp for more details
 
habarini wakuu!!! ninaomba ushauri kuhusu suala la kodi za kuingiza gari nchini!! kuna gari ninataka kuinunua ni Nissan Fuga ya mwaka 2005, cc 2490 ,bei yake hadi bandarini dar ni kiasi cha us dollars 2800 ambazo ni sawa na tsh 5,600,000 kwa exchange rate ya sasa,but kuna agent amenidokeza kuwa kodi ntakayopaswa kulipa tra yaweza kufikia 10 m .hali inayonipa mashaka kuagiza gari hii ingawa naipenda sana!! pia naomba ushauri kuhusu vipi upatikanaji wake wa spea hapa tz.naomba mchango wenu wakuu

Nicheki kwa 0767328063, then nitakupa kodi halisi,
 
Wataalamu wa magari naomba ushauri.

Je kuna uwezekano wa kubadirisha usukani wa RAV4 Kilitime ya 2000 na kuweka wa RAV4 Kilitime ya 2005?
Ule usukani wa RAV4 2000 una shape mbaya na ule wa 2005 una shape nzuri kama inavyo onekana hapa chini.

RAV4 Steering Wheel.jpg

Na kama uwezekano huo upo, mwenye huo usukani mzuri aniambie ana uza bei yake tufanye biashara. Ni PM kama unao.
 
Ndio mheshimiwa bwana SAID YAKUB suala la uraia wa nchi mbili ni muhimu sana kwa mataifa yetu machanga ya kiafrika,kuna mengi sana nchiinawezakufaidika kama zoezi hili litafanyika.

Tunawezajifunza sana kutoka INdia na Pakistani ambao wenzetu walianza zamani sana mambo haya na kuna programs nyingi sana zilijitokjeza ambazo zimeleta faida kubwa sana katika nchi hizo.

General ZIA ULhAQ alifaulu sana kwa kutrumia pkis wanaokaa nje ya nchi ambao walileta mafanikio makubwa sana ya kiuchumi nchi humo, na sisi kama kweli serikali italitupia macho suala hilo basi tunawezakufaidika sana. Angalia suala la wataalam wa nje ,wemgine hawana elimu kama resumes zao zinavyojieleza na wapo hapa kutunyang'anya pesa zetu ambazo sisi wenyewe tunaweza tukawa na uwezo kama wao au zaidi ya o kma wananchi

peace!!!

Aisee kwa uzoefu wangu binafsi Honda hasa hizi RD5 ni gari nzuri sana kwa hali zote kuanzia ulaji wa mafuta ubora wa engine na kukamata barabara
 
Habari wataalam, Naomba mwenye uelewa wa haya magari TOYOTA CELICA (Hasa ya kuanzia mwaka 2000) anipe uzoefu, inaonekana ni mazuri ila sijui spea zinapatikana au la, bei za spea juu au kawaida, tatizo la ujumla, na mengine mengi.
Nimeuliza hivi kwa vile nimeanza kuona yanaongezeka hapa Dar si kama miaka ya nyuma.

Natanguliza shukrani.

CELICA ni gari zenye bahati mbaya Tanzania hasa hizi za kizamani. Hizi za kisasa zinakimbiliwa sana kwa sababu ya fashion
 
Mkuu Mshana jn niko na Toyota premio d4. Nimetumia Gari hii kwa muda mrefu bila tatizo lakini sasa ghafla imeanza kupoteza nguvu kwenye mlima inajikongoja na kuchanganya inachelewa na nikikimbia Gari inastukastuka hata speed 90 haifiki inamis na sometime inazima ukiiwasha haitaki ila ikikaa muda kiasi inakubali kuwaka.nimebadiki hydraulic kwenye gearbox kwa kudhani labda imechoka lakini tatizo bado. Tatizo laweza kuwa nini mkuu?

CC: N'yadikwa Kaizer RRONDO
 
Last edited by a moderator:
Habar zenu wakuu, napenda kutoa shukran zangu za dhati kwa kuanzisha hii thread ya magari, Pia ningependa kuuliza swali na pia kupata ushauri. Nina kagari changu toyota duet ina tatizo la kupandisha temperature kila baada ya umbali fulan, ilianza kunitokea mara ya kwanza gari ikachemsha nikaiwahi nikaipaki kwa muda then nikaweka maji ikawa fresh ila ikaja tatizo fan ya pale kweny rejeta haizunguk bahat nzuri kuna jamaa mmoja anaujuz kidogo akachomoa wire ya fan ikaanza kuzunguka nikafika nilipokua naenda nikarudi nikapeleka kwa fund wakasema wanaiunga direct kama mwezi umeshapita juzi kati tatizo limeanza tena temperature kupanda nikampelekea akaangalia tukatest akasema haina shida kwamba fan ilishindwa tu kuwaka but haitachamsha kuenda baada kama uya 25 km ikaanza kuandisha temper nikampata fundi akarekeibisha akasema kuna kitu huwa kinalock kinafanya maji yasiingie kwenye engine so akarekebisha then akadisconnect wire unaofanya gauge inasoma. Swali langu je tatizo la gari ni nini hasa coz kila fundi anakuja na idea yake? Na linatatuliwaje wanajf wenzangu? Natanguliza shukrani

Aisee huyo fundi aliyechomoa wire wa gauge ya temperature usisome ni jambazi na muuaji mkubwa wa hiyo gari
Hebu tafuta fundi makini acheki yafuatayo
-wiring
-radiator n water system ikiwemo pump
-radiator fan
-engine block
-radiator cap
 
Back
Top Bottom