Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

Hapo mtihani kaka labda huku Dodoma kuna fundi unaemfahamu anaweza nisaidia mana nd Nina wiki 2 na hiy gari.na unajua mafund wanatuineaga San wanawake
 
Hapo mtihani kaka labda huku Dodoma kuna fundi unaemfahamu anaweza nisaidia mana nd Nina wiki 2 na hiy gari.na unajua mafund wanatuineaga San wanawake

Nenda Ikungi road kuna garage nyingi nzuri hasa nduvini
 
Labda kaka wawez kunisaidia IPO mtaa gani itakua rahisi kuulizia hiy nduvini
 
Vitu vingine huwa ni kutishana zaidi ya uhalisia na mara nyingi mtu anapozungumzia spare parts anamaanisha gari ipatapo ajali vitu kama vioo taa radiator nk nk kwakuwa katika hali ya kawaida na kama unazingatia utunzaji wa chombo ni nadra gari kupata hitilafu
Na kwa ishu ya ajali kama umekata comprehensive insurance huhitaji kuumia kichwa kuhusu spare au matengenezo ya gari

Mkuu mshana jr kuhusu comprehensive insurance hizi ajali ndogo ambazo matngenezo hayazidi laki tatu ujue ndo utagharamia ww..wao wanaita uchakavu. Bahati mbaya ajali nyingi zinakuwaga hizi minor kiasi kwamba utajikuta unagharamia mwenyewe tu. Inatakiwa ajali kubwa kubwa ndo raha yake japo bado utatakiwa kulipia uchakavu huo
 
Last edited by a moderator:
Wakuu habar naomb mnisaidie Nina raum new model zile herufi ABS zinawaka je tatizo ni nini au ni kawaida

kutakuwa na sensor ya ABS mbovu hapo.ila kama hujapata FUNDI toa tujuzane kuna FUNDI 1 yupo hapo Dom nikuunganishe naye.
 
mm nakushauri usifanye hiyo kitu mkuu.ingawa wengi wanaifanya na wanashauriwa kuifanya ila hapo radha ya Gari na uhalisia WA Gari huwa unapotea kabisa .ukishafanya hivyo uimara wa Gari unapotea kabisa mkuu.

kama unauwezo lekebisha hiyo engine au nunua nyingine tuu.mambo ya kutembea na Gari iliyochomewa drive shaft.hakuna uhakika wa safari au imekatwa vikombe ni hatari tupu

Nashukuru na nadhani mapenzi yangu na freelander yataishia hapa maana nimeona watu wachache sana waliosema hizi gari hazijawasumbua au hawajabadili engine. Napenda sana body yake na kuna mtu aliniambia ni ngumu ukiacha matatizo ya engine
 
Nashukuru na nadhani mapenzi yangu na freelander yataishia hapa maana nimeona watu wachache sana waliosema hizi gari hazijawasumbua au hawajabadili engine. Napenda sana body yake na kuna mtu aliniambia ni ngumu ukiacha matatizo ya engine

Binafsi sikushauri pia labda uwe nazo nyingi halafu hiyo iwe ni ya outing tuu
 
Mshana jr pliz naomba kujua ubora na udhaifu wa mark 2 blit mbali kuwa iko chini
 
mshana naomba kujua uzuri na mapungufu ya gari Toyota Cami nataka kununua so better nimeona nipate ushauri kwa wadau.
 
Nashukuru na nadhani mapenzi yangu na freelander yataishia hapa maana nimeona watu wachache sana waliosema hizi gari hazijawasumbua au hawajabadili engine. Napenda sana body yake na kuna mtu aliniambia ni ngumu ukiacha matatizo ya engine

Nadhani umeamua vema,kwani first generation ndiyo yenye shinda,ila second generation haina shida na ziko chache sana .Kwa kwa waliokuwa nazo tanzania siwajaona wakiuza kwani wengi wao wamenunua brand new. Na wanaomiliki hizi second generation wana uwezo kwani price yake iko juu
 
Mkuu mbn zote kwa lugha ya kigeni?

Mkuu Mshana jr nakupongeza sana kwa kutoa wazo kama hili hapa jf..naombeni msaanda wa kiufundi wa gari yangu
Aina ya gari ni Toyota cami ya mwaka 1999, model GF - J100E , engine namba ni HC 0779565 na CC ni 1290.. nimeinunua katika showroom moja Dar es salaam miezi 6 iliyopita, sasa tatizo lake ni kuwa inatumia petrol kwa kiwango ambacho si cha kawaida kwa gari aina hiyo ..yaani inatumia mafuta mengi karibu sawa au kuzidi hata Noah, nikahisi kuwa labda hii gari inakuwa na 4 wheel mda wote, sasa baada ya kupeleka kwa fundi akasema ni kweli akafanya Diagnosis akasema upande wa Engine hakuna tatizo..ila tatizo lipo upande wa Transmition ambapo eti ktk gear box diaphragm imenasia hivyo inasababisha gari kuwa katika 4wheel mda wote..wakati inatakiwa ukitaka kuweka 4wheel uwe unabonyeza button ndio inaji engage kuwa 4wheel.. kwa hiyo kwa mujibu wa maelezo ya fundi ni kuwa tatizo la kula mafuta mengi ni gari kuwa Full time 4wheel drive..kwa hiyo kashauri afungue gearbox ili kuiangalia hiyo Diaphragm na kuinasua.
Sasa naomba ushauri wenu wa kitaalam je hili linaweza kuwa tatizo? Au kuna tatizo lingine? Wataalam karibuni natanguliza shukurani...

,Mkuu ulipata suluhu ya tatizo la gari yako na me nataka kununua Toyota Cami vipi zipo vizuri?
 
Back
Top Bottom