LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
S
Hapo cha msingi nikuipima na mashine ili kujua tatizo..sio kubashiri utasababisha usumbufu na garama zisizokuwa na lazima..
Kama upo dar karibu JO AUTO TECH tunapatikana mwenge tutakupimia gari yako kwa mashine TIS mashine original ya toyota kujua shida ni nn bureee kabisa garama yako ww kama utataka kutengenezewa na ss au itahitaji spea lkn tutakupimia bure kabisa..au kama upo dar na unataka kufuatwa ulipo basi utagaramikia nauli tuu lkn kupimiwa bure.
Sio kweli mzee passo haitumii timing belt bali inatumia timing chain..Timing belt inaku alert kikomo cha matumizi
Hapo cha msingi nikuipima na mashine ili kujua tatizo..sio kubashiri utasababisha usumbufu na garama zisizokuwa na lazima..
Kama upo dar karibu JO AUTO TECH tunapatikana mwenge tutakupimia gari yako kwa mashine TIS mashine original ya toyota kujua shida ni nn bureee kabisa garama yako ww kama utataka kutengenezewa na ss au itahitaji spea lkn tutakupimia bure kabisa..au kama upo dar na unataka kufuatwa ulipo basi utagaramikia nauli tuu lkn kupimiwa bure.