Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zikague zote vizuri ukuchue ambayo si chakavu zaidi. Achana na nambaWAZEE NINA BAJETI KIDOGO JAMAA ANATAKA KUNIACHIA CROWN ATHLETE NAMBA DRS KWA 7MIL NA HUYU WA CROWN ROYAL NAMBA DRZ ANATAKA NIMPE 6.9 ZOTE ZA 2004/05
NICHUKUE IPI?
half engine ya 1rz inauzwa bei gani pia? sisi watu wa mikoani huku mnabidi mtusaidie piaSikushauri kabisa.. The best nunua engine nyingine.. Nissan ni tofauti na Toyota
Aisee wee jama kote kote uko vizuri [emoji120][emoji120]Oil kuvuja kuna mawili
Oil seal imechoka au knob ya kumwaga oil haijakazwa
Check hayo mawili
Inawezekana kabisa ila kuna notifications chache tu za kufanyaInawezeka kubadilisha engine ya petroli kwa engine ya diesel?
I mean kutoka 3Y engine direct enjection ya Toyota Hillux 4wd kwa kuweka 3L Engine 4wd?
Kama inawezekana naombeni msaada kama natakiwa kubadilisha hadi fly wheel, mounting, nk.
Nimeambatanisha engine ya 3Y ( nataka kutoa na kuweka 3L ( 3 images)View attachment 1885713View attachment 1885715View attachment 1885717View attachment 1885718
Porte nakushauri chukua 1nz fe 1490 mi nnayo ni gari nzuri sana ina nafasi kubwa...Toyota Porte ya cc 1290 ina changamoto gani kubwa?
je naweza agiza?
mimi napenda space yake tuu
Also kwa nyongeza chukua ile new model ya cc1490 gearbox CVT ni tamu balaa ina mlango wa tatu..iko economy zaid kutokana na mfumo wa gearbox..Toyota Porte ya cc 1290 ina changamoto gani kubwa?
je naweza agiza?
mimi napenda space yake tuu
Imo ya kutosha kabisaaa ndugu yanguGear box hiyo check hydraulic
Sawa, wizanga, mzee wa minduku, mtaalam wa kupaa angani usiku kwa night.. Mtaalam wa mechanics,Chukua bila kusita
Nimeichukua chief.. Gari ya Uingereza hii speed 220Chukua bila kusita