Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
-
- #201
"FARASI ATOROKA NJE YA KIBANDA ANGANI"
Ndege inayoendeshwa na shirika maalum la ndege la Air Atlanta Icelandic, ilikuwa ikielekea Liege nchini Ubelgiji kabla ya kulazimika kurejea katika uwanja wake wa ndege ilipotoka huko New York baada ya farasi kutoroka nje ya kibanda chake katika sehemu ya kubebea mizigo na kuanza kukimbia ndani ya ndege.
Ndege hiyo aina ya Boeing 747 yenye usajili TF-AMM, ilikuwa ikisafiri kwa umbali wa futi 31,000 juu ya Boston wakati ambapo kwa ghafla farasi mmoja alitoka kwenye kontena lake.
Marubani walilazimika kumwaga tani 20 za mafuta ili kupunguza uzito wa ndege kabla ya kutua kwa usalama.
Picha ni kwa lengo la kufikisha ujumbe tu.
Chanzo:
airlive.net
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndege inayoendeshwa na shirika maalum la ndege la Air Atlanta Icelandic, ilikuwa ikielekea Liege nchini Ubelgiji kabla ya kulazimika kurejea katika uwanja wake wa ndege ilipotoka huko New York baada ya farasi kutoroka nje ya kibanda chake katika sehemu ya kubebea mizigo na kuanza kukimbia ndani ya ndege.
Ndege hiyo aina ya Boeing 747 yenye usajili TF-AMM, ilikuwa ikisafiri kwa umbali wa futi 31,000 juu ya Boston wakati ambapo kwa ghafla farasi mmoja alitoka kwenye kontena lake.
Marubani walilazimika kumwaga tani 20 za mafuta ili kupunguza uzito wa ndege kabla ya kutua kwa usalama.
Picha ni kwa lengo la kufikisha ujumbe tu.
Chanzo:
A horse escaped mid-flight the stall in the cargo hold of Boeing 747 from New York JFK
The flight, operated by specialist charter airline Air Atlanta Icelandic, had been bound for Liege in Belgium. A flight was forced to return to its airport of origin in New York after a horse got loose in the cargo hold and started to run amok. The Boeing 747 (reg. TF-AMM) was cruising at 31,000...
Sent using Jamii Forums mobile app