Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Mada maalum ya walevi na wanywa Pombe

Naamini ni kuhisi sio kuona[emoji848][emoji848][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mashambulizi yanaendelea [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
20180918_173709.jpg
 
Wanasahau sentensi zao wanahama na majumbani kwa muda, ukiwauliza wanasema mliwanukuu vibaya [emoji851][emoji851][emoji851]...!!! Dahh..!! Anyway ndo tumepumzika chalinze tunastua kutoa uchovu kumi na mbili tunaliamsha....
Dah wapi iyo
 
Kwa hiyo wametoka kujisaidia hata kupandisha sarawili issue, halafu ndo binti anakuletea huyo kukutambulisha kuwa ni mkweo mtazamiwa...!! Kwa uwezo ulionao wa Msata kilingeni utamfanyaje.. [emoji125][emoji125][emoji125]
Nikipata nafasi tukabaki wawili tu namgeuza mchuchu[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Back
Top Bottom